Alfan issa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,281
- 893
Kuna ujumbe aliuandika Instagram kuelezea changamoto alizokutana nazo wakati anamuuguza marehemu mmewe da Inasikitisha Sana baada ya siku mbili tena akaandika nyumba zake mbili zimewekwa X ,Naogopa kusema chochote maana tutazidi kumuondolea furaha ambayo amesema amaikosa tangia 2011 mmewe alipoanza kuumwa,Nami nampa pole aende Lumumba watamsaidia.
Teh Teh nasikia mlitaka kuikata mikono mlio kuwa mkizungusha! hata hivyo hakuna aliyeiba kura zenu.hata sisi presha ilipanda mlipoiba kura zetu
Mmmmm Dada Nifah una hatari sanaDuppyConqueror cleverbright njooni muwasaidie ndugu zenu huku.
Who is she?Njaa inawatokea puani!
Hivi huo wimbo haupo mtandaoni niu-download?Hahahahaaa CCM ni ileile ooh ni ileileeeeee.
Tumejipangaaa,mwaka huu wataisomaaa.
Nimekamiss sana haka kawimbo jamani!
Nadhani utakuwepo,subiri wataalamu watatuwekea link mkuu.Hivi huo wimbo haupo mtandaoni niu-download?
Shangaa na wewe mkuu, yaani ukawa wamekosa hoja sasa ni ushabiki tu, inamaana wao kumbe wangechukua nchi wasingesimamia sheria, hahaaa ukawa mtasubiri sana kuingia ikulu aiseeeme watu wananishangaza kweli yan, kwa iyo ye nyumba yake kama imejengwa sehem isotakiwa ndo aachwe kisa alikata mauno kwa kampen haaa!
Hatari lakini salama....Mmmmm Dada Nifah una hatari sana
Walikuwa ikulu wanapiga dili na mijizi ya kiarabu na kihindi.Leo nyota wanaoshea kwa mafukara Angrrrhh..Hii Ccm hii ni laanaHakuna mtu anayetetea watu waliojenga kwenye maeneo yasiyostahili. lakini hebu tujiulize, tangu nyumba ya kwanza inajengwa hadi zinafikia maelfu hiyo serikali ambayo leo inazungusha tingatinga na kutumia gharama kubwa kuzibomoa hizo nyumba ilikuwa wapi? Halafu humohumo wanamobomoa kuna vijiwe vya mashina ya CCM, wakati wanawatundikia Bendera zao zenye alama zinazoashiria shari, hawakujua kama haparuhusiwi kujengwa?
So kama utawala uliopita haukutimiza majukumu yake na utawala huu pia uyaache tu?Hakuna mtu anayetetea watu waliojenga kwenye maeneo yasiyostahili. lakini hebu tujiulize, tangu nyumba ya kwanza inajengwa hadi zinafikia maelfu hiyo serikali ambayo leo inazungusha tingatinga na kutumia gharama kubwa kuzibomoa hizo nyumba ilikuwa wapi? Halafu humohumo wanamobomoa kuna vijiwe vya mashina ya CCM, wakati wanawatundikia Bendera zao zenye alama zinazoashiria shari, hawakujua kama haparuhusiwi kujengwa?