Wastara Juma aomba Watanzania tumuombee, Nyumba zake 2 zawekwa x

kumara = kimara
 
kibaraka cha mafisadi katika ubora wake.
 
Operation bomoa bomoa bonde la mto msimbazi na kuweka BURUDANI.
 
Naona watu tunaombeana njaa aise
Si mchezo!
Kweli Hi # tutaisoma vilivyo hakuna cha ccm wala ukawa wala act
 
Watu mna roho mbaya sana! Mnafurahia matatizo ya watu?!? Mungu awasamehe hamjui mlifanyalo!
Mkuu walituumiza sana roho kwa kupiga kampeni kwa kejeli. Walijipanga mstari na kupiga push-up kukejeli afya ya EL. Sasa huyu alikuwa anapiga push-up kumbe naye mume wake ana afya mbovu? Acha aisome namba, CCM mbele kwa mbele
 
Wakija kubomoa vaa ivo ivo na uwaeleze kwamba janga na kofia unazo ulipewa watakusamehe
 
Kama wew ni msanii likija tingatinga kubomoa lifanyie usanii litacheka litaondoka
 
Maisha baada ya uchaguzi
 

Attachments

  • 1452100260219.jpg
    43.1 KB · Views: 23
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…