Wastara Kikaangoni EATV, aibua mapya ya Mange Kimambi, Ali Kiba kumpa msaada na hasimu wake kumnyima

Huyu dada anataka kumtoa Mange Kwenye mapambano yake ili aje amzungumzie yeye.swali kama ile cannula iliwekwa vizur Kwann aliifuta ile Picha Baada ya watu kuanza kuhoji
 
Pesa zake then apangiwe matumizi. Kisa ustaa au??
Mbona barua hajamwandikia bakhresa kama ana shida kweli
Aaah! Usihamishe lengo.
Kama ange nuomba bakhress na yeye aka kataa tunge sema Bakhresa ni mchoyo.
Sasa kusema Diamond mchoyo pia si shda.
 
ili li dada hivi linaona kuwa ni ligonjwa la TAIFA kwahiyo lisaidiwe na kila mtu.ukioa hili dada unakuwa kichaa
 
Aaah! Usihamishe lengo.
Kama ange nuomba bakhress na yeye aka kataa tunge sema Bakhresa ni mchoyo.
Sasa kusema Diamond mchoyo pia si shda.
Nimechoka kumuongelea matonya.
Ila mondi kasema yeye ni maji.

Bye.
 
Mange ni mjinga kiasi gani ajitaje waziwazi kwa hao madaktari??
hii si chai kweli?
 
SAFI SANA ALLY KIBA

KWELI NIMEAMIN ALLI KIBA HAPENDI MISIFA


KIMPIRA, DIAMOND NI MAN UTD TIMU YA MEDIA INGAWA INABORONGA ILA ALLY K NI BARCA, INAFANYA VZURI ILA HAINA UDAMBWI
 
A
Ishakuwa Nongwa kwa hiyo yy,alitaka kiba akimsaidia Diamond naye LAZIMA amsaidie.
Alitaka washindane kumchangia ALI KIBA AKITOA 3mil DIAMOND atoe 4mil ili yeye Pige bao ila mambo yakaenda kombo
 
Kwanini asichangiwe na ccm na bongo muvi wenzie??

Tapeli huyo huko india wanajua neno milembe??
 
Kwanini asichangiwe na ccm na bongo muvi wenzie??

Tapeli huyo huko india wanajua neno milembe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…