Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
We utamtengulia udhu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] nimeamua kukaimu nafwasu yakekwa niaba ya Faiza Fox
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We utamtengulia udhu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] nimeamua kukaimu nafwasu yakekwa niaba ya Faiza Fox
What has marriage to with being CCM or UKAWA??? We should not forget that in our society [may be with exception of pemba] it is normal to have a wife who is CCM and a hubby who is UKAWA or any other party.Mbongo movie anayewakilisha vyema kwenye sanaa na mahusiano na anayemalizia kuandika kitabu chake kipya kinachoitwa AINA ZA WANAUME NA TABIA ZAO huenda akaolewa tena mwishoni mwa ramadhani lakini wakati huu mhusika akiwa ni mbunge wa Ukawa anayewakilisha moja ya majimbo ya kaskazini.
Habari kutoka ndani ya nyumba ya Wastara zinadai staa huyo amefikia hatua hiyo baada ya kushindwa kuvumilia kuwa singo,na hivyo kutulia kwa bingwa huyo wa maandamano.
Wastara ambaye amethibitisha kuchoshwa kabisa na CCM ambayo ameitumikia kwa miaka yote ya ujana wake ambapo ilimlipa kwa kumuwekea X nyumba zake mbili ambapo pia waliendelea zaidi kumtesa hata kwenye suala la mapenzi kupitia kada wake ndugu Sadifu.
Wastara anakuwa kada mwingine kutoka CCM ambaye atalazimika kutamka hadharani kuwa CCM siyo mama yake wala baba yake pindi atakapovishwa pete siku ya harusi hiyo.
Atie pilipili bana uvute ladhaKaribu ubuyu wenyewe kama hauna ladha vile
Perceptions zinatofautiana. Tatizo ni kuwa huyo unayemsema (RIP) almlea na kumpenda mno Wastara. Sasa Wastara anatakiwa akipata mtu asimlinganishe na Sajuki kwani kila binadamu ana sifa zake inabidi ajue kuwa hataweza kuja kumpata Sajuki hivyo aridhike na atakayempata!Wastara yeye mwenyewe ni tatizo hiyo mihogo haimtoshi mbona ana mdhihaki sana mume wake huko aliko lala limekua jamvi la wapita njia aah!
Nanukuu "Na hivyo kutulia kwa bingwa huyo wa maandamano".Mwisho wa kunukuu.Mmm!! Hii iko vipi muhusika akiwa ni mbunge wa UKAWA anayewakilisha moja ya majimbo ya kaskazini ni kweli?
Huyu msaga sumu ninawasiwasi atakuwa mwandishi wa ijumaa weekenda!!!Kwa kifupi nimecheka sana....eti 'waliendelea zaidi kumtesa hata kwenye suala la mapenzi kupitia kada wake ndugu sadifa..'
Inga kwenye siasa uwe hata diwani upepo wake ndio unako vumia.Naona kaamua kagawa uroda kwa staili ya ndoa,sijui zamu yangu itakuwa lini?wacha niendelee kumnyatia tu,one day yes!
Una jina? hata ngazi ya kata au wilaya? kama huna usinyate utajikwaa bure ukaangukia za uso!Naona kaamua kagawa uroda kwa staili ya ndoa,sijui zamu yangu itakuwa lini?wacha niendelee kumnyatia tu,one day yes!
Mwenyewe nimemuwaza bingwa wa maandamano naona kama no chemistry hivi au kada wa Cuf zenji? mleta mada kachungulie material vizurimkuu sasa si umtaje tu huyo muoajI mtarajiwA
Ha ha nawe mishipa ya umbea imekusimama kama mimi?najikuta nawawaza hadi kina mrema!mkuu sasa si umtaje tu huyo muoajI mtarajiwA