Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,535
- 1,562
Nlisikia ni muumin mzuri wa kabang...!HUYU DADA ATAKUWA NA UTAMU FULANI HIVI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlisikia ni muumin mzuri wa kabang...!HUYU DADA ATAKUWA NA UTAMU FULANI HIVI
Mbongo movie anayewakilisha vyema kwenye sanaa na mahusiano na anayemalizia kuandika kitabu chake kipya kinachoitwa AINA ZA WANAUME NA TABIA ZAO huenda akaolewa tena mwishoni mwa ramadhani lakini wakati huu mhusika akiwa ni mbunge wa UKAWA anayewakilisha moja ya majimbo ya kaskazini.
Habari kutoka ndani ya nyumba ya Wastara zinadai staa huyo amefikia hatua hiyo baada ya kushindwa kuvumilia kuwa singo,na hivyo kutulia kwa bingwa huyo wa maandamano.
Wastara ambaye amethibitisha kuchoshwa kabisa na CCM ambayo ameitumikia kwa miaka yote ya ujana wake ambapo ilimlipa kwa kumuwekea X nyumba zake mbili ambapo pia waliendelea zaidi kumtesa hata kwenye suala la mapenzi kupitia kada wake ndugu Sadifu.
Wastara anakuwa kada mwingine kutoka CCM ambaye atalazimika kutamka hadharani kuwa CCM siyo mama yake wala baba yake pindi atakapovishwa pete siku ya harusi hiyo.
Mtoa mada punguza chumvi...kwani anaolewa na chama au mtu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Lazima atie chumvi maana sukar imekuwa adimu
HahahaaInga kwenye siasa uwe hata diwani upepo wake ndio unako vumia.
HUYU DADA TUNAMCHUKULIA POA, ILA INAWEZEKANA YUKO VIZURI KWENYE MANENONlisikia ni muumin mzuri wa kabang...!
nasikia ni kabang 0713.......HUYU DADA TUNAMCHUKULIA POA, ILA INAWEZEKANA YUKO VIZURI KWENYE MANENO
Umesahau kuweka AMAZING mwishoniHUYU DADA ATAKUWA NA UTAMU FULANI HIVI
Mmm!! Hii iko vipi muhusika akiwa ni mbunge wa UKAWA anayewakilisha moja ya majimbo ya kaskazini ni kweli?
Haswaaa...Mtoa mada punguza chumvi...kwani anaolewa na chama au mtu?
kwa niaba ya Faiza Fox
vp mkuu uishawahi kuomba kazi katika gazeti lolote la udaku? kama bado nakushauri fanya hivyo hii kazi inakufaa sanaMbongo movie anayewakilisha vyema kwenye sanaa na mahusiano na anayemalizia kuandika kitabu chake kipya kinachoitwa AINA ZA WANAUME NA TABIA ZAO huenda akaolewa tena mwishoni mwa ramadhani lakini wakati huu mhusika akiwa ni mbunge wa UKAWA anayewakilisha moja ya majimbo ya kaskazini.
Habari kutoka ndani ya nyumba ya Wastara zinadai staa huyo amefikia hatua hiyo baada ya kushindwa kuvumilia kuwa singo,na hivyo kutulia kwa bingwa huyo wa maandamano.
Wastara ambaye amethibitisha kuchoshwa kabisa na CCM ambayo ameitumikia kwa miaka yote ya ujana wake ambapo ilimlipa kwa kumuwekea X nyumba zake mbili ambapo pia waliendelea zaidi kumtesa hata kwenye suala la mapenzi kupitia kada wake ndugu Sadifu.
Wastara anakuwa kada mwingine kutoka CCM ambaye atalazimika kutamka hadharani kuwa CCM siyo mama yake wala baba yake pindi atakapovishwa pete siku ya harusi hiyo.