Tetesi: Wastara kuolewa baada ya Ramadhani, huwezi kuamini nani anamuoa

hahahahahhahahahahah...msaa sumu umetishaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
What has marriage to with being CCM or UKAWA??? We should not forget that in our society [may be with exception of pemba] it is normal to have a wife who is CCM and a hubby who is UKAWA or any other party.
 
"Na hivyo kutulia kwa bingwa huyo wa maandamano" hahaaaaaaaaaaaaaa. we jamaa ni nouma
 
Hivi huyu Dada hawezi kukaa ata miezi 3 bila bwana achilia Mme? Atakuwa na mapungufu anajaribu kuyaficha.
 
Wastara yeye mwenyewe ni tatizo hiyo mihogo haimtoshi mbona ana mdhihaki sana mume wake huko aliko lala limekua jamvi la wapita njia aah!
Perceptions zinatofautiana. Tatizo ni kuwa huyo unayemsema (RIP) almlea na kumpenda mno Wastara. Sasa Wastara anatakiwa akipata mtu asimlinganishe na Sajuki kwani kila binadamu ana sifa zake inabidi ajue kuwa hataweza kuja kumpata Sajuki hivyo aridhike na atakayempata!
 
Akichoka vyama vya huko Tanzania aje FRELIMO huku Msumbiji.
 
Kwa kifupi nimecheka sana....eti 'waliendelea zaidi kumtesa hata kwenye suala la mapenzi kupitia kada wake ndugu sadifa..'
Huyu msaga sumu ninawasiwasi atakuwa mwandishi wa ijumaa weekenda!!!
 
Ana kipaji cha kuolewa,kwa nini asianzishe Wastara foundation kusaidia wasanii wenzake waolewe?
 
Naona kaamua kagawa uroda kwa staili ya ndoa,sijui zamu yangu itakuwa lini?wacha niendelee kumnyatia tu,one day yes!
Una jina? hata ngazi ya kata au wilaya? kama huna usinyate utajikwaa bure ukaangukia za uso!
 
mkuu sasa si umtaje tu huyo muoajI mtarajiwA
Mwenyewe nimemuwaza bingwa wa maandamano naona kama no chemistry hivi au kada wa Cuf zenji? mleta mada kachungulie material vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…