Tetesi: Wastara kuolewa baada ya Ramadhani, huwezi kuamini nani anamuoa

Kama ni kweli basi mdada anawashwa sana. Wabunge wa ukawa hatutaki makombo. Aende hukohuko. Next kwa mbunge wa Act . Dada kajipanda kwa ziara ya kisiasa kwa mtaji wa mwili.
 


Hivi Wastara hachoki kuvuliwa chupi tu na hawa wasanii wa siasa? Tutasikia tena baada ya ramadhaini kupita kuwa anachumbiwa na mbunge mwingine. Inabidi ajichunge la sivyo atakuwa kiwanja cha mazoezi tu cha wabunge na mwisho atahamia Dom kuwafariji.
 
"Wastara anakuwa kada mwingine kutoka CCM ambaye atalazimika kutamka hadharani kuwa CCM siyo mama yake wala baba yake pindi atakapovishwa pete siku ya harusi hiyo."

Hahahahah we jamaa nouma saaaaaaaaaaana!!
 
Ahhahahaha umeniongezea siku aiseee za kuishii
 
vp mkuu uishawahi kuomba kazi katika gazeti lolote la udaku? kama bado nakushauri fanya hivyo hii kazi inakufaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…