Wasudan wajiuliza kuhamishwa raia wa nje kuachwa wao wapigane kuna hekima gani

Umeandika nini mkuu
 
Hao majenerali unawashauri wawashikilie mateka raia wa kigeni kwa kigezo Cha usalama[emoji848]

Huwatakii mema hao na siku tu wanachuka huu ushauri wako ndio siku hiyohiyo ambayo watakuwa njiani kuungana na akina ghadafi.

Kiufupi tu hao majenerali hapo walipo wamezungukwa na mashushu wa hizo nchi za kikaburu so mipango yao ya kila siku taarifa zinafika kwa hao makaburu na wao ndio wanaoamua huo mgogoro uendelee au usiendelee na ukiendelea uchukuwe muda gani.

Ghadafi wkt anatoroka ndani ya comvoy yake kulikuwa na mole anayetoa taarifa ya njia zote anazopitia alipofika sehemu waitakayo ndio wakatia Moto msafara wake.

So kwa ushauri huo utawaharibia hao majenerali.
 
Kwani janjaweed si inafadhiliwa na waarabu wa sudani kina al bashir.
USA kawasaidia weusi wasiuwawe kwa kuwapa nchi yao.
 
Mshindwe kulinda amani yenu kazi kujazana ujinga tu, halafu mtegemee ngao wawe raia wa nje maajabu haya, acha wabaki mwenyewe ndiyo akili iwasogee, Trump aliwambiaje akili za mwafrika anaua raia wake wanaowatala, sijui anategea kutawala nini!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja tuangalie tujikumbushe.Lakini sidhani kuwa ilikuwa ni ushujaa wa Israel pekee iliambatana na ujinga wa vikosi vya Idi amin muda ule.Leo Israel hana ubavu huo tena
Usijidanganye hivyo, ukikosea mwenzio akashinda aliyeshinda ndiye shujaa.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Yaan waafrika bhn especially wabongo yaan Huwa hawajikubali kabisa et vinchi vidogo
 
Kama wanapenda wenyewe kupigana tuwasidianaje, kupigana ni tabia za wanyama, kama wameona kutumia nguvu ni muhimu kuliko akili, waache wapigane wakichoka watapatana.
 
Maajabu huanzia hapo, wanataka kafiri ndiye mtoa msaada, acha washikishane adabu ila wanao teseka wanawake na watoto jamani.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hiyo nguzo alikuwa wanaitimiza vipi? Mchana kumwaga damu jioni kufuturu au!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Huko ni OTHODOX mzee, wala hawana fungamano na PAPA.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Acha wapigane wenyewe wageni wote waondoke ana la wajitambue wapatane wajenge nchi yao....mafuta ni laana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…