Wasudan wajiuliza kuhamishwa raia wa nje kuachwa wao wapigane kuna hekima gani

Wasudan wajiuliza kuhamishwa raia wa nje kuachwa wao wapigane kuna hekima gani

Kwamba unamaanisha hata hapa kwetu wasiojulikana ipo siku watafanya yao?tuombe tusifike huko
Sitarajii hilo lakini inabidi tuwatahadharishe watawala wenye uchu wa madaraka juu ya hatari ya kuanzisha vikundi vya kigaidi dhidi ya raia. Makundi ya aina hiyo ni rahisi kuanzisha vita ya wenyewe kwa wenyewe. Manake tunashuhudia watawala wakitumia ukatili kama mbinu ya ushindi na kushikilia madaraka.

Kwa mfano sasa hivi kuna chuki kati ya “sukuma gang” na “msoga gang”. Hii ni vita ya maneno tu. Michezo ya aina hii ikiendelea siku za mbeleni watu watajiandaa kukatana mashoka kabisa. Kete ya ukatili inazidi kupaliliwa na wanasiasa.
 
upeo wako mdg , unataka fananisha war na civil war , Rudi std 7 ukasome upya , Urusi kaivamia Ukraine , ni nchi mbili tofaut hazifanani kila kitu siasa , uchumi hata kijamii pia , Sudan ni nchi moja , WAAFRIKA KWA HIZI AKILI , AMANI NA MAENDELEO MTAYASIKIA KWENYE BOMBA LA SINDANO
Vichaa kama nyie sijui imekuwaje mkapata ruhusa ya kujiunga JF.

Kwa akili hizi ulitakiwa uwe mirembe unaendelea na dozi zako za haloperidol.

Kwani huko kwa wazungu(wakristo)hakujawai kuwa na civil wars?

Ulaya na Marekani kote kumeshapiganwa sana civil wars.

Ule ugomvi wa ndani kwa ndani kati ya majeshi ya ukraine na waasi wa Donbas wanaotaka kujitenga tangu 2014 ndani ya ukraine hiyo hiyo wote wakiwa ni wakristo unauchukuliaje?

Una tofauti gani na ugomvi wa wenyewe kwa wenyewe na wasudan uliozaaa sudan mbili,Sudan na Sourth sudan?

Wapuuzi kama nyie ifike muda JF iwe inawatandika ban za maisha mshindwe kuandika mashudu humu.
 
ila waafrika upeo wetu mdg sana , Unahisi kisa Kenya na Misri kukataa kuwapa support Israel bas basi ndo operation isingefanyika , mtizamo wao unaonesha kabisa jinsi waafrika tulivyo na upeo mfupi hasa tukikutana na changamoto ndogo ndogo , kiufupi Israel angetafuta plan B , ni ngumu sana kuwaacha watu wake hass ndan yake walikuepo watu muhimu kwa serikali ya Israel
Hiyo Plan B ingekuwa ngumu zaidi na hatimae ingeshindikana kabisa.Ingechukua muda zaidi na huenda taarifa ingevuja mpaka kwa Uganda na kwa watekaji.
Kilichotokea wamisri waliopigwa kwa aibu na Israel wakawapatia sifa nyengine kuwa ni mashujaa wasio na mfano.Kenya nayo ina raia wengi wanaopinga dhulma za Israel kwa wapalestina lakini kwa kuchanganya na chuki zao kwa waislamu wakaamua kuwaachia wajaze mafuta ndege zake.
 
Hao washenzi kutoka nje ndio chanzo cha chokochoko.Muda kama huu kama hao majenerali wanajua wanachopigania basi wangewashikilia mateka.Wakawaambia mutakufa pamoja nasi hapa.Mukileta ushoga na kuiba mali zetu mnataka uhuru lakini mambo yakiharibika munajali usalama wenu.

Wamshikilie mateka mzungu, ndio watajua hawajui. Wanashika mateka na kuua ngozi nyeusi nyenzao.
 
Mwenyezi Mungu amrehemu baba yetu wa taifa hayati JKN...

Tanzania litabaki taifa la mfano kwa mbegu iliyopandwa.....

Mbegu zilizopandwa katika mataifa mengine ndiyo KARMA yao.....

#SiempreJMT[emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Nyerere alifanya kazi kubwa Sana. Ingawa vijana wa juzi wanamtukana matusi, ila amani imekuwa utamaduni wa mtanzania.
 
Let us call spade a spade vinginevyo Afrika hatutasonga mbele

Somalia wote waislamu mashehe wameenda kusuluhisha imeshindikana wanatwangana tu

Haya Sudan kaskazini hao wanatwangana sasa wote waislamu tena vita wameanza mwezi wa Ramadhan wasivyo hata na aibu dini moja hawaivi

Mifano iko kibao

Waislamu tumechoka na vita zenu za kutwangana wenyewe kwa wenyewe mnatia aibu bara letu la Afrika

Waambie na waislamu wenzao

Umesahau Chad na Mali. Kutwa kupigana.
 
We ni mpumbavu kweli.

Warusi na Wayukreini wanaotwangana huko Ukraine nao ni waislamu?

Tena kibaya zaidi nchi kubwa za kikristo zikiongozwa na USA ndizo zunazorefusha vita kwa kumpa silaha Ukraine huku zikikataa kukaa mezani kwa ajiri ya suluhu.

CCM akili zenu mbovu sana.

Hata Iran anaisaidia Urusi pamoja na chechnya.
 
Wewe unasema...
Dunia ya magharibi inatuaminisha hivyo.....

Putin na makamarada wenzake wanaamini UKRAINE ni eneo la Urusi...TUSIKESHE SANA HAPA [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Tangu lini Ukraine ni eneo la Urusi? Wote hao walikuwa kwenye shirikisho la kisovieti Kama wanachama kabla halijaanguka. Ni ujinga wa Urusi kutafuta usuperpower ambao haumfai.
 
Kumbe katika operesheni ile Israel ilisaidiwa na Misri na Kenya. Misri ilishuhudia mazoezi ya jeshi la Israel kwa ajili ya uokoaji kule Kampala na haikusema kitu juu ya kwamba nchi hiyo ilipigwa na Israel mwaka 1967, Na Kenya nayo ilijua ndege za Israel zitakuja kutia mafuta pale kabla kutua Uganda, Kwa kutiwa fikra mbaya tuchukiane waafrika hatupendani wala hatusaidiani, Hiyo sifa kubwa ya jeshi la Israel wala isingekuwepo kama Misri ingetoa masharti yake na Kenya ikaidai Israel isitishe uvamizi wao kule Palestina.
Lakini Jommo Kenyatta alikwishatiwa fitna akamchukia jirani yake Idi Amini Dada kwa faida ya mataifa yasiyokuwa na utu wala ukweli katika mahusiano yao na wenzao.

Kasome kitabu Cha Raid at Entebbe. Utapata picha halisi ya ujasusi wa Israel.
 
Hata Iran anaisaidia Urusi pamoja na chechnya.
Tunapata picha kumbe kwenye migogoro mingi ya dunia hii chanzo kikubwa ni maslahi.

Dini inachukua nafasi ndogo sana kwenye migogoro inayoendelea duniani.

Angalia hapa;

●Marekani anaisaidia Ukraine kupambana na Urusi.Marekani ni nchi ya kikristo na Ukraine ni nchi ya kikristo na Warusi majority ni wakristo hapa wakristo kwa wakristo ndiyo wanaopambana na kila mmoja anapambania maslahi yake dini hapo azina nafasi na zimewekwa pembeni.

●Vita ya Syria kumtoa Al Assad Marekani(mkristo)anasaidia waasi(waislamu),wakati Urusi mkristo anamsaidia Al assad kubaki madarakani kwa kupambana na waasi na magaidi(waislamu).Hapo utaona Marekani amsaidii mtu kidini bali kwa kuangalia maslahi yake tu.Yupo tayari kumsaidia mkristo au muislamu as long as maslahi yake yatalindwa na kuzingatiwa kwa gharama yoyote.

Hata hapo Sudan kinachowapiganisha sio uislamu wao ni maslahi ya pande zote mbili na tamaa za madaraka tu.
 
Waambie wawe wapole wanakula malipo, wakati wanawaua wasudani weusi bila huruma wakitegemea nini. Hao hata wamalizane wote SAwa tu watazaliwa wengine
 
Una shida n
Waambie wawe wapole wanakula malipo, wakati wanawaua wasudani weusi bila huruma wakitegemea nini. Hao hata wamalizane wote SAwa tu watazaliwa wengine
Una shida na hiyo Ngozi yako , jipakae chokaa utafanana na sisi
 
Vichaa kama nyie sijui imekuwaje mkapata ruhusa ya kujiunga JF.

Kwa akili hizi ulitakiwa uwe mirembe unaendelea na dozi zako za haloperidol.

Kwani huko kwa wazungu(wakristo)hakujawai kuwa na civil wars?

Ulaya na Marekani kote kumeshapiganwa sana civil wars.

Ule ugomvi wa ndani kwa ndani kati ya majeshi ya ukraine na waasi wa Donbas wanaotaka kujitenga tangu 2014 ndani ya ukraine hiyo hiyo wote wakiwa ni wakristo unauchukuliaje?

Una tofauti gani na ugomvi wa wenyewe kwa wenyewe na wasudan uliozaaa sudan mbili,Sudan na Sourth sudan?

Wapuuzi kama nyie ifike muda JF iwe inawatandika ban za maisha mshindwe kuandika mashudu humu.
usipende ongea past , ongea present , ndio maana nkasema akili yako ndogo , yaan unaish past ya mtu mwingine halaf unajiona timamu ?
 
Tunapata picha kumbe kwenye migogoro mingi ya dunia hii chanzo kikubwa ni maslahi.

Dini inachukua nafasi ndogo sana kwenye migogoro inayoendelea duniani.

Angalia hapa;

●Marekani anaisaidia Ukraine kupambana na Urusi.Marekani ni nchi ya kikristo na Ukraine ni nchi ya kikristo na Warusi majority ni wakristo hapa wakristo kwa wakristo ndiyo wanaopambana na kila mmoja anapambania maslahi yake dini hapo azina nafasi na zimewekwa pembeni.

●Vita ya Syria kumtoa Al Assad Marekani(mkristo)anasaidia waasi(waislamu),wakati Urusi mkristo anamsaidia Al assad kubaki madarakani kwa kupambana na waasi na magaidi(waislamu).Hapo utaona Marekani amsaidii mtu kidini bali kwa kuangalia maslahi yake tu.Yupo tayari kumsaidia mkristo au muislamu as long as maslahi yake yatalindwa na kuzingatiwa kwa gharama yoyote.

Hata hapo Sudan kinachowapiganisha sio uislamu wao ni maslahi ya pande zote mbili na tamaa za madaraka tu.
tofautisha nchi ya kikristu na nchi yenye wakristu wengi , vitu viwili tofauti hapa tumepoint nchi za kiislam I.e Saudia Arabia , Iran etc na sio nchi zenye waislam weng I.e Tanzania
 
Waambie wawe wapole wanakula malipo, wakati wanawaua wasudani weusi bila huruma wakitegemea nini. Hao hata wamalizane wote SAwa tu watazaliwa wengine
Muangalie huyu mwamba anayetajwa kuwa ndiye miongoni mwa walioongoza mauwaji huko Darfur kama ni kweli. jana ametoka jela baada ya jela kubomolewa. Anaitwa Ahmed Haroun. Kwa sura yake unaweza kusema ni kablila gani.
Jee huyu unawez kusema ndiye mwarabu aliyekuwa akiuwa waafrika huko Darfur. Katika machafuko kama haya wazungu wanapotaja ukabila wanajuwa wanachokifanya na faida zake.
230425230030-file-south-kordofan-ahmed-haroun.jpg
 
Back
Top Bottom