Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kweli wasukuma kabila kubwa, kila sehemu ya Tanzania wapo wengi na wanachapa kazi kwelikweli. Nimewakubali sana.
Karibuni kwenye huu uzi tuwapongeze.
Karibuni kwenye huu uzi tuwapongeze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaa shiba Inu will reach 1 $ at the end of this year or early next year.Kweli wasukuma kabila kubwa, kila sehemu ya Tanzania wapo wengi na wanachapa kazi kwelikweli. Nimewakubali sana.
Karibuni kwenye huu uzi tuwapongeze.
Ginehe nkima 🤣Nmepokea
Hivi hadi huko Mbeya wana chapa zao msukusu noma sanaWapo good
Mhola gete.....Ginehe nkima 🤣
Nakutogwile nononoo mayuMhola gete.....
Katika kutembea kwangu mikoa ya Tanzania nimepata kujua haya kuhusu wasukuma;Watanzania tupunguze ukabila, inasaidia nini kila siku kuleta nyuzi za ukabila na ukanda
Nini inaongeza umaskini hapo? Hawa jamaa ni wachapa kazi haswa sasa umaskini unatoka wapi?Inasikitisha sana,
Haisaidii chochote zaidi ya kuongezeka umaskini tu.
Wengi sana broHivi hadi huko Mbeya wana chapa zao msukusu noma sana