Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
TulyagiKama kuna msukuma hapa anitajie neno la kisukuma linaloingia i na u nimpe liteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TulyagiKama kuna msukuma hapa anitajie neno la kisukuma linaloingia i na u nimpe liteni
melemo? Kisukuma cha nchi gani hiki?Hiyo milemo i inatamkwa kama imebebeshwa e mbele yake mi haikazwi
Tolyagi*Tulyagi
Hiyo ni 25% ya watanzania wote, hao watu Nyerere asinge wanyima elimu ya juu wasinge shikika kwa sasa.upo sahihi wasukuma wanakaribia watu milion 15 Tanzania roughly kat ya watu 13 Tanzania mmoja ni msukuma
hivi mikoa kama manyara, arusha na kilimanjaro wasukuma kwa wingi wapo maeneo gani wanaishi wao tu? Achana na wale watumishi wa umma na wawili watatu wanaotafuta fursa za biashara na masomo. Nataka nione tu kijiji au mtaa wamejenga wasukuma watupu wanaishi kama mikoa mingine isiyo yao unawakuta kijiji kizima au mtaa/kitongoji ni wasukuma watupu huko kilimanjaro, arusha na manyaraWapo hiyo mikoa yote uliyosema hawapo, tena wengi sana. Hata visiwani Znz wengi tembelea sehemu za ujenzi ni wasukuma wengi wanaongea lugha yao tuu.
Mimi nimewakubali sana.
Unaongelea usafi wa namna gani? Kama ni kuoga huogea sabuni za vipande mtoni ama ziwani tena hujisugua na magunzi na huwa wasupuu 😂Kumbe....mi ninachojua ni wastaarabu tu isipokuwa usafi kidogoo hawajaimprove
Usimsingizie Nyerere, wasukuma hawakupenda kusoma kipindi hicho...Hiyo ni 25% ya watanzania wote, hao watu Nyerere asinge wanyima elimu ya juu wasinge shikika kwa sasa.
Mungu alisema zaaeni mkaongezeke mkaijaze Dunia.Kuzaliana kama simbilisi na yenyewe siyo sifa nzuri ya kujivunia.
Wangependa je kusoma wakati mkoa yote ya wasukuma hakuweka chuo kikuu hata kimoja? Wajati ndo walikua mojority ya makabila yote Tanzania.Usimsingizie Nyerere, wasukuma hawakupenda kusoma kipindi hicho...
Wao walijikita kwenye ufugaji na kilimo...
Sasa hivi wameamka, wanasoma sana, karibu kila kozi huko vyuoni utawakuta kwa wingi.
Unene nalimhola sana nakugishe ng'wa nani nkoi?Kweli wasukuma kabila kubwa, kila sehemu ya Tanzania wapo wengi na wanachapa kazi kwelikweli. Nimewakubali sana.
Karibuni kwenye huu uzi tuwapongeze.
Tliho baaba.Unene nalimhola sana nakugishe ng'wa nani nkoi?
😳😳Tliho baaba.
Hujui kisukuma wewe kaa kandoTolyagi*
Uli mhola Ng'wanike ?Nmepokea
Mtu ana ng'ombe 400, akizaa watoto 15 tatizo linakua wapi?yaani bado watu wanasifia majitu kuzaana bila mpango bila resources?
Aiseee!
Wanaongoza kwa kumiliki mifugo mingi nchini, pia ndio wazalishaji namba moja wa mpunga.. asilimia kubwa ya mashine za kukoboa mpunga zinamilikiwa na wao.. ukifika machimboni wao pia ndio mabingwa wa kuzamia mashimo marefu (rongobesi)Uharibifu mkubwa wa mazingira kutokana na kuhama na mifugo yao mingi. Sehemu nyingine wamezua migogoro baina yao na wakulima.
Nawapongeza kwa kuchapa kazi!
Nkema....Uli mhola Ng'wanike ?