PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Acha uongo? Wapi waliwahi kuamua nani awe nani? Hata hiyo kanda ya ziwa pekee pale mkoani Mwanza hawana nguvyu ya kuamua kuliko WakuryaMwenye kutaka awe na sura ya kitaifa ni lazima awekeze kwa wasukuma kiasi maana wana uwezo wa kuamua nani awe nani,hasa upande wa siasa.