Msukuma_De_Great
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 1,185
- 972
[emoji13][emoji13][emoji13]Jamani mnanikumbusha mbali sana. kipindi nilikua Shinyanga nilimpata bibi wa kipush. jama kufika faragha hiyo chupi aliyovaa. bukta si bukta. kaptula si kaptula sijui ni tambata gani. si unajua chupi nzuri ya kike huamsha hisia zaidi hasa mwanamke akiwa na chura
We,acha ukanjanjaHata wanyakyusa wana hako katatizo
Barabara ya Mbeya ~ Tabora imebarikiwa kuwa na wasukuma kibao. Asipoongea na simu basi utamkuta anapiga mziki na kisimu cha mchina au vile viradio vya kichina[emoji3]Hio njia nimewahi kupita na huwa ni malele na kubishana kwenye gari t3na wanabishana kisukuma alafu wanacheka kwa sauti kubwa kweli njia nzima ni Fujo hawataki kusogea nyuma alafu wanabanan kwenye gari daah wasukuma bwana
Mbaya to tabora hio
Whaaaaat[emoji3]Utofauti wa msukuma na ng'ombe ni pembe na mkia
Hebu tuambie na ww kabila lakoUtofauti wa msukuma na ng'ombe ni pembe na mkia
Watoe tuu povu hata detol,wanaboa sana hawa jamaaa nashukuru yule msukuma baba gilesi niliweza kumkimbia looh sio kwa sifa zile na ushamba wake mfyuuuu[emoji23]Ngoja wapite apa wakutolee mapovu
[emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]Waluguru mjitahidi mrefuke mkuu.
Faida gani unaipata ukizaliwa nje ya usukuma?Kuzaliwa msukuma ni hasara
Tofauti yako na msukuma ni ipi, na kwa nini uwatusi kihvyo?Utofauti wa msukuma na ng'ombe ni pembe na mkia
RaizoniHahaaaa hata ungevaa earphones wangezizid, umenikumbusha jamaa yangu Shija alipopokea boom akaenda town kununua nguo za mitoko, anarud ananionesha nguo kila anayotoa akiweka kitandan n pajama la mchele mchele, wazee nilichekaaaa....... kila nikitaka kuacha akitoa jingne naanza mwishowe nikaanguka nikajigonga mlangoni mpk leo nina alama, Kila nikikumbuka lile tukio nacheka sanaa, Moja alinipa ninalo mpk leo la ukumbusho, Ila n watu fresh sanaaa, His was one of my best friend kwa kweli, with our better days and better campan, asaiv majukumu yanatubana, Hakuna kitu kizur kama kua na marafk wazur asee, Hapo sijazungumzia raba kama za kangi na Yale maviatu ya zaman yenye soli kubwa yenye gorofa(siyajui jina ila wahenga mtakua mnayajua), machinga Mungu anawaona
Unatuonea gere bhuaana [emoji23] [emoji12]mbona hata wajaluo wana hilo tatizo
Huko tena mi sipoUtofauti wa msukuma na ng'ombe ni pembe na mkia
Sijawahi shuhudia but sifa zao nazisikia. Nasikia jamaaa ni hatari na nusu. Mmoja anaweza kuwa amekaa mbele karibu na dereva na mwingine nyuma ya basi afu wanapiga story kwa kilugha ahahahhhambona hata wajaluo wana hilo tatizo