Wasukuma na Simu mnaboa aisee!

Wasukuma na Simu mnaboa aisee!

Sidhani kama ni hao tu,watu wengi sana hawawezi kucontrol sauti kwenye Simu wakati wa kuongea,kwa hili nawatetea wasukuma si wao peke yao ni tatizo la kitaifa
 
Kuongea sauti kubwa mbele ya umma ni UJASIRI!. Hakuna Msukuma MUOGA!..
shenzy 🙂
 
Hahaaaa hata ungevaa earphones wangezizid, umenikumbusha jamaa yangu Shija alipopokea boom akaenda town kununua nguo za mitoko, anarud ananionesha nguo kila anayotoa akiweka kitandan n pajama la mchele mchele, wazee nilichekaaaa....... kila nikitaka kuacha akitoa jingne naanza mwishowe nikaanguka nikajigonga mlangoni mpk leo nina alama, Kila nikikumbuka lile tukio nacheka sanaa, Moja alinipa ninalo mpk leo la ukumbusho, Ila n watu fresh sanaaa, His was one of my best friend kwa kweli, with our better days and better campan, asaiv majukumu yanatubana, Hakuna kitu kizur kama kua na marafk wazur asee, Hapo sijazungumzia raba kama za kangi na Yale maviatu ya zaman yenye soli kubwa yenye gorofa(siyajui jina ila wahenga mtakua mnayajua), machinga Mungu anawaona
Ha haaa....
 
Hilo ni kweli Mkuu nimewahi kukutana nao hawa Jamaa. Nilikuwa nakuja mikoa ya kusini nikapanda nao gari moja. Asee wanatumia nguvu nyingi kuongea bila kujali walio karibu yao.
Washamba
 
Makabila yote hayawezi kufanana kwa kila kitu,wasukuma huongea kwa sauti ya mamlaka hivyo ni kawaida yao hiyo!
 
Back
Top Bottom