Uncle Araali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 950
- 1,262
Acha dharau mkuu ukiwa bado hai.Utofauti wa msukuma na ng'ombe ni pembe na mkia
Acha hizo mkuu, hakuna watu wa maana hapa nchini kama wasukumaKuzaliwa msukuma ni hasara
Nani kakudanganya, hakuna mtu mjanja kama msukuma kwa taarifa yakoWrite your reply....ni washamba
Ha haaa....Hahaaaa hata ungevaa earphones wangezizid, umenikumbusha jamaa yangu Shija alipopokea boom akaenda town kununua nguo za mitoko, anarud ananionesha nguo kila anayotoa akiweka kitandan n pajama la mchele mchele, wazee nilichekaaaa....... kila nikitaka kuacha akitoa jingne naanza mwishowe nikaanguka nikajigonga mlangoni mpk leo nina alama, Kila nikikumbuka lile tukio nacheka sanaa, Moja alinipa ninalo mpk leo la ukumbusho, Ila n watu fresh sanaaa, His was one of my best friend kwa kweli, with our better days and better campan, asaiv majukumu yanatubana, Hakuna kitu kizur kama kua na marafk wazur asee, Hapo sijazungumzia raba kama za kangi na Yale maviatu ya zaman yenye soli kubwa yenye gorofa(siyajui jina ila wahenga mtakua mnayajua), machinga Mungu anawaona
Great thinkers huwa hawashiriki kwenye ishu za kitoto kama hizi [emoji23][emoji23][emoji23]Nyani Ngabu na Kiranga hizi tuhuma ni za kweli?
Ha haaa basi punguzeni ushamba wenu jamaGreat thinkers huwa hawashiriki kwenye ishu za kitoto kama hizi [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha hizo, alokuambia msukuma ni mshamba nani hebe kwanza elezea neno ushambaHa haaa basi punguzeni ushamba wenu jama
WashambaHilo ni kweli Mkuu nimewahi kukutana nao hawa Jamaa. Nilikuwa nakuja mikoa ya kusini nikapanda nao gari moja. Asee wanatumia nguvu nyingi kuongea bila kujali walio karibu yao.
Mi msukuma lakini siku hizi nimezama kwa wangoniNawe ni Msukuma? Tangu lini?
Mzee wa Ikungulyabashashi hajatia mguu hapa kututetea jamani?
Wameacha kugegeda mbuzi?Speaking of huyo aliekuwa Nyuma Yako..vipi hukuwa unahisi joto? mana nasikia siku hizi imekua ngumu kuwatenganisha wasukuma na Juma Nyosso!
Utapimwa mkojo we jamaaUtofauti wa msukuma na ng'ombe ni pembe na mkia
Na Wamasai pia mkuu.mbona hata wajaluo wana hilo tatizo
Wanyakyusa Nao hawajaponaHata wanyakyusa wana hako katatizo
Defamation mkuu, tafadhari tuombe radhiUtofauti wa msukuma na ng'ombe ni pembe na mkia