Wasukuma na Simu mnaboa aisee!

Hayo makelele na kuongea kwa sauti yapo kwa wote boss, hasa Wahehe, Wagogo, Wachaga na Wajaluo..
 
Ndo umentukana kikwenu eh? Na yakurudie mwenyewe
 
Shukuru hawakuacha kunguni kwenye buss.
Kunguni nimekuja kutana nao kwenye Basi la Complex Safari nilipanda pale Nzega-Mwanza ila lenyewe ni Dar-Musoma
 
Ndo umentukana kikwenu eh? Na yakurudie mwenyewe
Dah,

Olemana mayo, maganiko gakwo gale na tuja gete.

Onene nalebagesha pye banamhala pandejo, pye baniisale, pye bayanda, pye baanike, kongonoobise mamnho ma nyalali bazunya getegete o Seba tontogwile ha kaya yise.

Obebe okwiza koyomba mamihayo sagala ga chilochilo getekohaya onene neeta mamihayo ga tuja?

Ete chiza yeneyo mayo, olo banegene okobalanga mamihayo genago, gakobizaga mamnho ga kebi gete gete!

Hagayaaa.
 
@nyani ngabu njoo unitafsie mwenzio
 
Sijawahi shuhudia but sifa zao nazisikia. Nasikia jamaaa ni hatari na nusu. Mmoja anaweza kuwa amekaa mbele karibu na dereva na mwingine nyuma ya basi afu wanapiga story kwa kilugha ahahahhha
Onyangooo
Hiyo sasa fujo,.Usiombe ukafahamiana na mmoja wanabebana hao kama siafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…