Wasukuma na Simu mnaboa aisee!

Wasukuma na Simu mnaboa aisee!

Bora ukute wanaongea na simu, sio wawe wanaongea wenyewe kwa wenyewe kwenye gari hata kama mmoja yuko mbele kabisa na mwingine nyuma wao poa tu wanapiga kelele halafu kilugha sasa.
 
Jamani mnanikumbusha mbali sana. kipindi nilikua Shinyanga nilimpata bibi wa kipush. jama kufika faragha hiyo chupi aliyovaa. bukta si bukta. kaptula si kaptula sijui ni tambata gani. si unajua chupi nzuri ya kike huamsha hisia zaidi hasa mwanamke akiwa na chura
Haaahaaa....alivaa pensi nyanya
 
Hawana tofauti na wapopo....daah mpaka Chris Tucker aliwatoleaga mifano Houston, kipindi kajaga kwa obasanjo aliwavunja mbavu watu....eti wanaongea utafikiri wanataka kupigana
 
Uongeaji gani huo kama wana Cone Speaker mdomoni, na usiombe aangue kicheko unaweza ruka nje ya gari ukajua tairi imekula mzinga
Ahaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Me stakii ujinga aki vile...nikiwa saluni ananipigia simu eti nimbusu nisipombusu ananifuata mpaka nilipo halafu anaongea kwa nguvu na wakati huohuo anakuomba msamaha na msauti wake mfyuu..masikio yangu yalichoka yaani baba gilesi jamaniii khaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sauti kama meli inataka kung'oa nanga vile haaaa haaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Jamani mnanikumbusha mbali sana. kipindi nilikua Shinyanga nilimpata bibi wa kipush. jama kufika faragha hiyo chupi aliyovaa. bukta si bukta. kaptula si kaptula sijui ni tambata gani. si unajua chupi nzuri ya kike huamsha hisia zaidi hasa mwanamke akiwa na chura
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe duu kwahiyo akili yako ikaishia kwenye chupi yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwanini hukumnunulia nzuri jamani watu mnamambo
 
Hahaaaa hata ungevaa earphones wangezizid, umenikumbusha jamaa yangu Shija alipopokea boom akaenda town kununua nguo za mitoko, anarud ananionesha nguo kila anayotoa akiweka kitandan n pajama la mchele mchele, wazee nilichekaaaa....... kila nikitaka kuacha akitoa jingne naanza mwishowe nikaanguka nikajigonga mlangoni mpk leo nina alama, Kila nikikumbuka lile tukio nacheka sanaa, Moja alinipa ninalo mpk leo la ukumbusho, Ila n watu fresh sanaaa, His was one of my best friend kwa kweli, with our better days and better campan, asaiv majukumu yanatubana, Hakuna kitu kizur kama kua na marafk wazur asee, Hapo sijazungumzia raba kama za kangi na Yale maviatu ya zaman yenye soli kubwa yenye gorofa(siyajui jina ila wahenga mtakua mnayajua), machinga Mungu anawaona
Umeongea..hawa jamaa baadhi ni watu poa sana ila ni washamba kupindukia...
 
Hio njia nimewahi kupita na huwa ni malele na kubishana kwenye gari t3na wanabishana kisukuma alafu wanacheka kwa sauti kubwa kweli njia nzima ni Fujo hawataki kusogea nyuma alafu wanabanan kwenye gari daah wasukuma bwana
Mbaya to tabora hio
Hiyo ndiyo asili ya wasukuma na hauwezi kuibadili kwani wao kila jambo ni nguvu.
 
Leo nimepanda Basi toka Mkoa mmoja wapo wa Nyanda za Kusini naelekea Kanda ya Ziwa nikiwa na shauku kubwa kwakuwa tulipita njia ambayo nilikuwa nikiisikia sifa yake kuwa si rafiki hasa pale mkipata tatizo mnaweza kaa hata siku2 bila msaada, kufika eneo flani linaitwa Lupa wakapanda Wasukuma kama4 hivi, sasa wakaanza kupiga simu na wengine kupigiwa, mmoja alikuwa nyuma yangu, mwingine pembeni na mbele yangu, aisee hizo sauti naona walifikisha volume100%, nikaanza kujisachi labda kama nawezakuwa na ear-plug mfukoni nikakosa, nikatamani tufike sehemu network ipotee kabisa lakini wapi, inabidi kesho nikapime masikio, na safari nilio a mbaya na sipiti tena hiyo njia. Wasukuma mnaboa bhana.
Asili ya Wasukuma kila jambo ni nguvu. Kwa hiyo huo ustaraabu wako pia ni tatizo kwao. Bora ulivyoamua kuheshimu na kutafuta cha kuziba masikio japo ulikosa.
 
Leo nimepanda Basi toka Mkoa mmoja wapo wa Nyanda za Kusini naelekea Kanda ya Ziwa nikiwa na shauku kubwa kwakuwa tulipita njia ambayo nilikuwa nikiisikia sifa yake kuwa si rafiki hasa pale mkipata tatizo mnaweza kaa hata siku2 bila msaada, kufika eneo flani linaitwa Lupa wakapanda Wasukuma kama4 hivi, sasa wakaanza kupiga simu na wengine kupigiwa, mmoja alikuwa nyuma yangu, mwingine pembeni na mbele yangu, aisee hizo sauti naona walifikisha volume100%, nikaanza kujisachi labda kama nawezakuwa na ear-plug mfukoni nikakosa, nikatamani tufike sehemu network ipotee kabisa lakini wapi, inabidi kesho nikapime masikio, na safari nilio a mbaya na sipiti tena hiyo njia. Wasukuma mnaboa bhana.
sisi tunajiamini na tuna furaha muda wote ulitaka tuongee kwa kubana pua. hiyo siyo jadi yetu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sauti kama meli inataka kung'oa nanga vile haaaa haaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Yaani shogaa we acha tuu wanapayuka sana kama mafarisayo..khaa!!!
 
Yaani shogaa we acha tuu wanapayuka sana kama mafarisayo..khaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wale nao sijui wapoje, huko vijijini unaweza mletea kifuniko cha kisoda akakuletea ndoo ya viazi haaaa haaaa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] na zani ile hali ya kutembea pori kwa pori inawaadhiri sana, kuongea sasa jamani jamani bora hata walivyokatazwa chagula yao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wale nao sijui wapoje, huko vijijini unaweza mletea kifuniko cha kisoda akakuletea ndoo ya viazi haaaa haaaa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] na zani ile hali ya kutembea pori kwa pori inawaadhiri sana, kuongea sasa jamani jamani bora hata walivyokatazwa chagula yao
Hahaahahha woiii...basii bibiee baba gilesi asije akasikia bureee akaja kunizibua masikio mm na voice yake..lol
 
Back
Top Bottom