Waambie hakuna haja ya kubishana na vikabila vidogo vidogo vyenye roho mbaya.Wasukuma tupo vizuri chekeni na kuponda mwezavyo lakini siye wala hatuna shida ya kubishana na vikabila vidogo vidogo visivyo na ushawishi wowote, wasukuma si tu ni kabila bali ni jamii yenye misingi rasmi ya kijamii kuanzia maadili hadi heshima kwa wote na kujitolea kwa kujali wengine bila kuzingatia makabila na ukanda, in short karibuni kwa wasukuma mnufaike na ukarim wetu ambao baadhi yenu mnausema hasa ndo ushamba wetu.
Saguda 47, from Meatu Simiyu.
Wacha Mungu
Wana upendo
Wana heshima
Wachapakazi
Wanajituma
Hawana roho mbaya!
NB: hizi ni sifa za wasukuma wa kike
Hahahaa umepga penyewe kabsaaa, huwa najiuliza haya makabila yanayosakama wasukuma hawana aibu kwa sababu wakienda kwa wasukuma huhudumiwa kama wageni kwa upendo mwingi na kujali, wakitoka hapo wanahubiri mabaya ya wasukuma, Daaahhh ama kweli pa- kulia ndo pa kunyea!!Waambie hakuna haja ya kubishana na vikabila vidogo vidogo vyenye roho mbaya.
Huyo ndo yule buludozza?Ndio mkuu ni MSUKUMA
Kwani humjui?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Umesahau moja WACHAWI yaani hao hao wa kike
Aka! wakangiha nyamo......ke neng'we agotebi iga abakuria nabashamba.Makabila wafugaji wote ni washamba wasukuma wajanja kdogo kulinganisha na mkulia mshamba no 1 anafuata maasai
Uko sahihi, lakini jifunze zaidi maana ya "ushawishi". Kama lingekuwa ni hicho unachoita ushawishi rais wa kwanza hadi wa nne wasingetawala coz wanatokea makabila madogo sana. Hapa sio Kenya. Hakuna kabila lenye ushawishi, by the way makabila yanakwenda yanapotea na nyakati. Mfano mimi baba mfipa na mama msukuma kama wewe. Wife ni mama yake mchagga baba yake mhehe, hao watoto wetu wanafuata ethnicity ipi? Wajukuu je? Sisi ni WATANZANIA.Wasukuma tupo vizuri chekeni na kuponda mwezavyo lakini siye wala hatuna shida ya kubishana na vikabila vidogo vidogo visivyo na ushawishi wowote, wasukuma si tu ni kabila bali ni jamii yenye misingi rasmi ya kijamii kuanzia maadili hadi heshima kwa wote na kujitolea kwa kujali wengine bila kuzingatia makabila na ukanda, in short karibuni kwa wasukuma mnufaike na ukarim wetu ambao baadhi yenu mnausema hasa ndo ushamba wetu.
Saguda 47, from Meatu Simiyu.