Wat Would You Do?

Wat Would You Do?

Usema ukweli lazima huyo
Dada bado auamtaka huyu kijana
1.anamtaka sababu she is insecure na yule kijana mwingine
2.anataka waendelee kuwa marafiki ili aendelee kumsaidia na masomo
3.apate mtu wa kumkimbilia siku mambo ya kichachuka..

Sanasana anachofanya huyo dada nikumdanganya huyu
mzeewalolliondo na viking txt vya kufurahisha moyo
lakini yaelekea huyo dada hana mwelekeo unaoeleweka
kamshika yule ajili ya sura , kamshika huyu ajili ya akili,
Na usikute anamwingine ajili ya personality..

Lizzy mpenzi
Kama kweli humtaki mtu
Na waelewa kabisa huyo mtu
Ana feelings fulani za mapenzi juu yako
kwanini wa mchokoza kwa kumwita majina matamu?

Kama ni rafiki tu na hana feeling hizo
nisinge ona tatizo kwa huyu msichana kumwita hayo
majina....
is not good to hurt peoples feelings
And the terrible bits is when u play with it ..

So mzeewalolliondo u need to wake up ...

Mkuu kama King solomon vile hayo mahekima
 
Angekuwa demu angeniPM nimshauri... Lakini jiumeeh., sinaga wateja wa hivyo. Sorry for break yo heart ni99a-! Sijapenda wewe kuwa mtu wa kupost vitu vya aina moja, ... Luks lyk ulimbukeni broda!

Halafu huyu kijana anaonesha kama baradhuli hivi!!!
 
Halafu hii english yenu mbovu nyie vijana munaipata wapi? Andika kitu kieleweke. Sio kukatakata maneno. Pumbafff.

kwel kabisa. Sijapendezwa na abbreviations zake. Hii pia inakuwa vigumu kwa wazee wenye uzoefu kumpa ushauri sio kwamba hawawezi kumpa ushauri, ila ni ya kwamba watashindwa kuelewa hivi viabbreviations. Ila kwa mimi nimeelewa. Hivyo naweza kukushauri hivi. You know you love someone when you want them to be happy. Even if it means you aren't part of their happiness. even if you aren't happy yourself. Thats true love.
 
This is a very true story of mine. It happened 2me a couple of months ago n if kuna m2 pia has gone through the same path ningependa views zako kwnye jukwaa. See,i met ths girl chuoni,she saw me teachn her friends sum stuffz n she took ma # n we became frnds,studied 2gthr n i taught her sum stufz she wazn gud@. No sooner i realized dat i was fallin in lv wit her,@1st i thout it waz merely a crush but as the day passed i realized dat it waz true sincere love. I got courage 1day 2tel her the trth n ol she said waz thanx i apreciate. Days pased we became more close n each night i woud call ha n talk 4 hourz. When i reminded ha she kept sayn thanx. One day i took her out 4dina @City Garden,n politely i axd ha why she has been avoidn my answr. Calmly she tod me dat she has been tryn 2telm but she cudnt coz she didn wana break ma hert but da 2th z she waz seein sum1 elz. I almst burstd into tearz coz t waz so hertbreakn. Bt she begged me not 2end our frnshp. Day have pased,she keep textn me wit titles lyk dear,luv,swry,hny etc. I dn undstnd ha,n m tryna 4gt ha bt i cmly cnt. Need yo help here budz

Its only 2 month so why dont u wait?if she waz meant 4 u she wil b urs,so jus wait dont rush.its only a matter of tyme.

tafuta ustaarab mwngne! Hakn k2 kbya km kulazmsha penz ndg yng! Kubaliana na jb allokupa, tayar anae ampendae, kukuita swt, lv, hny ni k2 cha kawaida!

hey, the answer aliokupa tc simz anakupenda ila yuko confused btn u na the existn guy. so unachotakiwa kufanya endelea wit ya frendship............! one day yeeeeees.

but i feel lyk ma hert belongs 2 ha,i just cant stop thnkn of ha

so y dnt u post sum n shea wit us? Brah,ts nat necesary 2comment

Kwa kweli hawa vijana watatumaliza sisi wazee...Hivi ndo mnavyojibu mitihani huko sekondari, na vyuoni..

mkuu kweli watakosa ushauri wa maana..maani hivi-VIINGEREZA si mchezo, kama mko serious na issue zenu, pia muandike kwa busara.. hili jamvi lina watu wa kila aina

1. Man,
I know you are a new generation kinda, but iam afraid this type of jargon you have used may deter some wise men from advising you, unless if you limit the type of people to respond to your problem!
 
Back
Top Bottom