Wataaalam wa siasa mnielimishe: Pamoja na wapinzani kufanyiwa maovu kwanini bado wanaendelea?

Wataaalam wa siasa mnielimishe: Pamoja na wapinzani kufanyiwa maovu kwanini bado wanaendelea?

Mjinga mwingine huyu hapa empty bràin
Iko hivi
IMG-20191109-WA0000.jpg
 
Hivyo hivyo ni vigumu sana watu milioni 60 kuwaaminisha CCM haifanyi kitu ili wakubali kumkabidhi madaraka Mbowe aliyejinasibu ukabila na ubwanyeye, au Tundu Lissu aliyejinasibu matusi na usaliti, tens yuko nje ya Nchi.

Kura wakishindwa wanadai polisi wanawapiga, kwa nini wawapige? Hata kama unapigwa, kura zako si ziko pale pale?

Mwaka 2020 aligombea Urais akapata 13% Magu akapa 87%. Walipiga kura kwa kuona Bwawa la Nyerere, kuhamia Dodoma, kufufuka ATC, flyovers kila mahali, kutetea makanikia yetu, amani na utulivu, discine kazini, nk. Mr. Tundu alitaka wampe kura kwa kitu gani alichofanya? Hata hao 13% sidhani kama ni kweli au ni wendawazimu.

Hata wabunge walishindwa, hatukuona polisi kwa Sugu au Peter Msigwa au Halima au hata kwa Mbowe mwenyewe Wilayani Hai. Majimbo ya Arusha Mjini (Lema) au Rombo (Joseph 30) kote walianguka mchana kweupe, hata kwao wamewachoka.

Ni vigumu sana watu milioni 60 wakubali kuonja sumu kwa ushabiki tu. Tume tunayo, Katiba tunayo, kama wanataka waweke zao zavushoga na uraiapacha, waziweke kwenye Ilani zao kwanza.

Wanasema watafanya vurugu kuzuia Uchaguzi, ngoja tusubiri. Ila watoto wao na mke wake kumbe ni Raia wa Marekani hawatokuwepo kushiriki mikikimikiki kuvuruga uchaguzi 2025.

Sioni watapitia wapi lakini tunawasubir
Chama chochote kilichokosa uhalali wa kuongoza hakiamini katika ushindani wa kisera na sanduku la kura,unapokosa uhalali wa kuongoza kinacho chukua fursa au kushika hatamu ni mabavu na mabavu ndiyo msingi mkuu wa chama dola.

Kuwapiga wapinzani ni kudhoofisha nguvu kani ya wapinzani katika misingi ya kuwakatisha tamaa. Msingi mkuu wa chama chochote cha siasa au madhumuni ni kuunda serikali kwa maana ya kuongoza dola kinacho wafanya wapinzani kutokata tamaa ni commitment lakini ikumbukwe siasa ni kazi kama zilivyo kazi nyingine na ndiyo maana watu wanasomea siasa.

Tukisema leo hii wapinzani wakate tamaa kutokana na kunyanyaswa nchi itakuwaje, ndiyo ukisikia vanguard party inajengwa kwa misingi hii,wenyewe sauti wachache wanameza sauti walio wengi,na hili limeanza kushika kasi
 
Upinzani sio Viongozi ni spirit. Spirit haifi, inaishi vizazi na vizazi. Kule Afrika Kusini akina Hani waliuawa lakini upinzani dhidi ya makaburu uliendelea.
 
Wewe unaongelea Leo watu wanaongelea kesho. Huyo Magufuli alishinda uchaguzi gani?. Unazima internet nchi nzima kisa uibe kura?. Mwishowe ilibidi warudi CHADEMA kuiba wabunge Ili wapate misaada.
Wana upumbavu wa asili uliopo kwenye damu zao hadi kamasi.
 
Back
Top Bottom