Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
Habari za wakati huu,
mimi ni mtu mzima,
leo kwa mara ya kwanza kabisa nimeota nimefungwa jela miaka 30
kwa kosa la kumpa mimba mwanafunzi[emoji848]
huyo mwanafunzi mwenyewe hata simkumbuki vizuri alikuwa nani ktk ndoto hiyo
nini maana yake[emoji848][emoji848]
mimi ni mtu mzima,
leo kwa mara ya kwanza kabisa nimeota nimefungwa jela miaka 30
kwa kosa la kumpa mimba mwanafunzi[emoji848]
huyo mwanafunzi mwenyewe hata simkumbuki vizuri alikuwa nani ktk ndoto hiyo
nini maana yake[emoji848][emoji848]