Wataalam wa afya, Maiti huanza kuoza baada ya muda gani?

Wataalam wa afya, Maiti huanza kuoza baada ya muda gani?

Muda wa maiti kuanza kuoza unatofautiana kutokana na aina ya vifa
Aliyefia majini ataoza haraka kuliko aliye jinyonga nk
 
Baada ya masaa 24. Ila inategemea ilipo kama ipo ndani ya maji itachelewa zaidi na kama imeshafukiwa itachelewa zaidi ya ndani ya maji
 
Muda wa maiti kuanza kuoza unatofautiana kutokana na aina ya vifa
Aliyefia majini ataoza haraka kuliko aliye jinyonga nk
Aliyefia majini atachelewa kuliko Aliyefia nchi kavu.. Maji haya oxygen ya kutosha so decomposing bacteria watatumia muda mwingi
 
Wataalam wa afya kwa yoyote mwenye ufahamu kuhusu hili.

Maiti huanza kuoza baada ya muda gani kupita na hutumia muda gani kuweza kumalizika yote na kubaki mifupa tu?

Note. Kwa maiti zote zilizo achwa wazi na zilizo zikwa ardhini
Ushamfyeka mtoto wa mtu sababu ya wivu wa kimapenz sasa mkate kiungo kimoja kimoja ulavitupe sehem tofaut ila usibugi ukikamatwa hata na kidole umeishaaa utakua dem wa nyampara milele
 
Back
Top Bottom