Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi umefungwa.Higher capital, higher running cost, higher profit, not otherwise.
Binafsi mimi nitasema io biashara ni nzuri na ukiipa muda basi lazima returns zipande. The goal of many businesses is that the business doesn't owe you kama revenue - cost na kinabaki kitu weka nguvu apoBiashara ambayo faida ni ndogo kuliko matumizi ni biashara yenye afya?
Mfano ukifanya mauzo, zaidi ya asilimia 60 hadi 70 inaenda kwenye matumizi kama maligafi n.k, na hakuna uwezekano wa kupunguza matumizi.
Karibuni mnielimishe naona natumia nguvu nyingi kwenye hii biashara, ni biashara ndogo tu.
Shukrani Mkuu 🤝🤝Binafsi mimi nitasema io biashara ni nzuri na ukiipa muda basi lazima returns zipande. The goal of many businesses is that the business doesn't owe you kama revenue - cost na kinabaki kitu weka nguvu apo
Daaaah bonge moja la bznes komaa nayo kiongozi.Biashara ambayo faida ni ndogo kuliko matumizi ni biashara yenye afya?
Mfano ukifanya mauzo, zaidi ya asilimia 60 hadi 70 inaenda kwenye matumizi kama maligafi n.k, na hakuna uwezekano wa kupunguza matumizi.
Karibuni mnielimishe naona natumia nguvu nyingi kwenye hii biashara, ni biashara ndogo tu.
Asante sana Mkuu 🤝🤝Daaaah bonge moja la bznes komaa nayo kiongozi.
Nilikua na bznes moja ilikua na sifa kama hii yako. Mm ilienda ivyo kwa mwaka mzima ila baada y mwaka mpk sasa ndio roho yangu na familia yangu.