Kamwene kamwene
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,159
- 2,601
Ndimunofu hela. Be wiwa kwiya?
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Kuiringa be,
Hatuharibu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndimunofu hela. Be wiwa kwiya?
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
hahaha acha kabisa utafilisika vibaya mnoooo 😁😁😁View attachment 1435237
hapa nilideposit 20usd ikaenda hadi 7400usd, hii ni screenshot kabla sijaclose trades. Je wakuu naweza endelea?
daaa uyu mwamba Nomammh Genius, Kama Nikweli mzee wewe ni shetani unatisha
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
we kijamaa wewe😂😂😂😂hahaha acha kabisa utafilisika vibaya mnoooo 😁😁😁
daaa mwamba unatumia ma tekniki gan na sisi waunguzaji tu tabasamu😁😁😁we kijamaa wewe😂😂😂😂
mkuu mimi sitaki kupigwa mawe we nenda tuu ukasomedaaa mwamba unatumia ma tekniki gan na sisi waunguzaji tu tabasamu😁😁😁
😂😂😂ngoja tupige msuli kumbe ila ela ikiungua nakufuata pm guru haiwezekan ule mema ya nchi pekeako 🤣🤣🤣mkuu mimi sitaki kupigwa mawe we nenda tuu ukasome
mmh.. ngumu kumeza hii..hizo lots size haziendani na capital unayosema uliiweka...View attachment 1435237
hapa nilideposit 20usd ikaenda hadi 7400usd, hii ni screenshot kabla sijaclose trades. Je wakuu naweza endelea?
Huyu chizi anafikiri yuko jukwaa la vilaza wenzake eti alideposit $20 akaacha trade zirun wiki nzima labda kama anatumia laverage ya 1:10000000mmh.. ngumu kumeza hii..hizo lots size haziendani na capital unayosema uliiweka...
Kuna Dalili ya ulongo kwa uyu jamaa ngoja aje AJIBU tuhumaHuyu chizi anafikiri yuko jukwaa la vilaza wenzake eti alideposit $20 akaacha trade zirun wiki nzima labda kama anatumia laverage ya 1:10000000
umeona kumbe, subiri kuna wazembe muda si mrefu wataelekezwa kibla[emoji2]mmh.. ngumu kumeza hii..hizo lots size haziendani na capital unayosema uliiweka...
Hahhahaha du ngumu kumeza yaani kuna RAIA wanajimwambafay ukienda pm utaskia boss leta 200$ nikufundisheumeona kumbe, subiri kuna wazembe muda si mrefu wataelekezwa kibla[emoji2]
watu siyo wakweliHahhahaha du ngumu kumeza yaani kuna RAIA wanajimwambafay ukienda pm utaskia boss leta 200$ nikufundishe
Uko sahihi hawana tofauti na watu wa network kina global alliance wanatafuta wakuwapiga kuna sumu huwa ndani yaowatu siyo wakweli
ungesema pia wewe unapendelea kutrde kwa style gani...mfanoHabari wazee, hivi juzi nilianza biashara ya forex kwa kuweka kiasi cha usd 100 kwenye account. na hii ni history tangu nilivyoanza kutrade hadi sasa, naombeni mnipe ushauri kama naweza kuendelea au niache na kama naweza kuendelea nifanye nini ili nipate matokeo mazuri zaidi
View attachment 1435213
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hii comment yako naiona kwa mara ya tatu sasa katika nyuzi tofautitofautiOntario akamatwe afungwe jiwe kubwa shingoni atupwe baharini tena katikat ya bahari
Sent using Jamii Forums mobile app