hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hapna nini sasa mkuu wabishana na macho ykoThomad Sankara na Nkrumah? Hapana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapna nini sasa mkuu wabishana na macho ykoThomad Sankara na Nkrumah? Hapana.
Hii picha ilipigwa wapi,
![]()
Hahaha kwani hapo kabeba fuko la bangi mkuu?Bob Marley nae yupo na Bangi zake
Hawezi kosa kete mbilí tatu kibindoniHahaha kwani hapo kabeba fuko la bangi mkuu?
Nice Job, Comrade.Hapo kuna Robert Nesta Marley, Nelson Mandela, Thomas Sankara, Mouammar Ghaddafi, Dk. Kwame Nkurumah, Cassius Clay, na.. niachie nafasi kwa wengine wamalizie.
Elvis Presley?.Bob marley kiongozi wa reaggae[emoji38] [emoji13] [emoji13] Nelson Mandela, Malcolm X, Thomas Sankara, Mohammed Ali, Elvis Presley[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
seriously ham'oni iyo picha ni ya kuchorwa.??Hii picha ilipigwa wapi, namuona Bobby Marley, Thomas sankara, Nelson Mandela, Muhammad Ali, Nkrumah na wengineo cjui kina nani
Nyerere sijui hukuwepo
![]()
Bobby Marley ndio Nani?Hii picha ilipigwa wapi, namuona Bobby Marley, Thomas sankara, Nelson Mandela, Muhammad Ali, Nkrumah na wengineo cjui kina nani
Nyerere sijui hukuwepo
![]()
Huenda atakuwa Andrew Young.Huyo katikati ya Nkrumah na Ali ni nani mkuu?
Hiki na mm nimekifiria , kwa kipindi kile haikuwa rahisi kwa wao kukutana pamoja Mf Mandela alifungwa 1960's na Sankara akaibuka 1980's sasa walikutana wapi? Hata mavazi tu hayaendani Tom kavaa Suti na kofia ya kijeshi?ila wamejitahidi usipokuwa makini huwezi gundua.Nadhani vijana wamecheza na photoshop mkuu,nina uhakika baadhi ya watu hapo hawakuwahi kukutana,nahisi Garvey akifanya yake Bob alikuwa mdogo au hajazaliwa jspo sina uhakika sana
LacazzetteHuyo katikati ya Nkrumah na Ali ni nani mkuu?
Kwameh nkuruma , nelson Mandela, Mohammed Ally , Bob MarleyHii picha ilipigwa wapi, namuona Bobby Marley, Thomas sankara, Nelson Mandela, Muhammad Ali, Nkrumah na wengineo cjui kina nani
Nyerere sijui hukuwepo
![]()
Na Mimi nasubiria majibu nimjue!Bobby Marley ndio Nani?