Wataalam wa IT naombeni msaada

Wataalam wa IT naombeni msaada

Kinachonipa matumaini ni iyo logo ya lenovo inaonekana ikiwaka, jarbu fn+f2
Mkuu right now nimejaribu kuikonekt na HDMI/Tv naona tv imedisplay.
Toka nilivyoweka window juzi ikafeli sikukonekt tena hdmi.
Tazama picha
IMG_20230306_190911_6.jpg
 
Mkuu right now nimejaribu kuikonekt na HDMI/Tv naona tv imedisplay.
Toka nilivyoweka window juzi ikafeli sikukonekt tena hdmi.
Tazama picha
View attachment 2539658

Kwa sasa jaribu ku update BIOS ingia kwenye official site weka serial number - update utupe mrejesho

kuna asilimia fulani ikawa ni issue inayohusiana na motherboard either graphics card au ics, au cable ya monitor - mobo
 
Kwa sasa jaribu ku update BIOS ingia kwenye official site weka serial number - update utupe mrejesho

kuna asilimia fulani ikawa ni issue inayohusiana na motherboard either graphics card au ics, au cable ya monitor - mobo
Ngoja kesho nikiwa kwa office nitajitahidi kucheza nayo. Nitakuletea mrejesho Sir
 
Ubaya wa JF ya sasa hivi bila connection ya kujuana na watu humu hupati msaada.😅
Daah msaada wenu wataalam 🙏
Umejaribu kutumia VGA cable kutest kwenye kioo kingine?
 
Brand ni Lenovo Thinkpad

Hapana siwez kabisa, nimejaribu hata kutumia F Keys ila hazifui dafu coz it's all blank.

Mkuu yaani ni kama kukapua jicho. Yaani logo inaonekana kwa sekunde tu then rangi nyeupe inatokea. You can't do anything
Lenovo ni brand yenye uhanga sana kwenye matatizo ya namna hiyo
 
Ina HDMI cable tu mkuu. Nimeikonect na TV hapa ndio naitumia
Basi kioo cha Pc ndio tatizo

Ingekuwa ni maswala ya internal motherboard basi kwenye HDMI isinge display
 
Apple inapokuwa na tatizo la Drivers huonyesha screen nyeupe, wakati Microsoft Window hugeuka kuwa blue na computer haipokei command ya aina yoyote. Kama imenunuliwa hivi karibuni fanya moja kati ya haya:
Inawezekana kuna app mpya umepakia kwenye system ambayo haiko compartible!....
Inawezekana wakati wa kuizima umeizima bila kufuata itifaki ya kufunga, kuzima kama umeme unavyokatika ni sawa
na kupiga nyundo utosini. Matokeo yake utakapo iwasha italazimika kufanya update.
Unahitaji kufanya update na hii ni kupitia kwenye website wa watengenezaji wa software unayotumia. Kwa sasa iwashe ikiwezekana ikae imewaka hadi kesho. Kesho ikifika fanya zoezi la kuiwasha na kuizima mara kadhaa, ikibidi toa betri ili ianze upya. Kama siyo tatizo la motherboard lazima itazinduka tu.
 
Kabisa mkuu Lenovo zinasumbua sana sitakaa niinunue tena. Nina miaka nayo 4
Nina Lenovo Thinkcentre ya all in one, imekuja kunizingua kwenye Blue screen na humu uzi wake niliuleta

Ile bluescreen error inatokea frequently na sehemu pekee ambayo haitokei ni kwenye safe mode ambayo apps nyingi zinakuwa disabled
 
Think pad ni f12 ndio unaenda bios. ..km umehamisha data ingia bios and reset everything to default then try to boot nafikiri kuna kilichochezewa on bios at the end of a day haioni OS ...if you manage to reset bios utaweza toka hapo. ..hata mm nilikwisha pata shida km hio but after reset ilikaa sawa
 
Nina Lenovo Thinkcentre ya all in one, imekuja kunizingua kwenye Blue screen na humu uzi wake niliuleta

Ile bluescreen error inatokea frequently na sehemu pekee ambayo haitokei ni kwenye safe mode ambayo apps nyingi zinakuwa disabled
Piga Ubuntu hutapata tena hio shida hizi windows wanatumaga drivers zina overide mwisho zinaua pc...kingine having multiple AV inachagia kuua HD...but ukiona yote hayafai nunua SSD utakua umemaliza mchezo.
Ukitaka apps za window install wine on Ubuntu utatumia kila kitu humo
 
Piga Ubuntu hutapata tena hio shida hizi windows wanatumaga drivers zina overide mwisho zinaua pc...kingine having multiple AV inachagia kuua HD...but ukiona yote hayafai nunua SSD utakua umemaliza mchezo
Mi mwenyewe natumia SSD ila swala la lupiga ubuntu au Win7 ni swala ambalo siko tayari kwasababu linani limit kwenye mambo yangu

Apps nyingi nazotumia zina run kwenye Win10 na Win11
 
Habari...
Jumamosi nilikua naitumia Tarakirishi mpakato usiku nikaizima after hours ikiwa nzima kabisa. Jumapili jioni nikaiwasha niitumie lakini ikawa inaonyesha logo kidogo then inakuja rangi nyeupe kwenye kioo kizima (White Screen of Death)

Ikiwa hivyo huwezi kuona lololote wala kufanya chochote..nikajaribu kutumia Functions keys (Safe booting) ikashindikana...Nikataka nijaribu kuweka window haikuwezekana.

Options ikabidi niifungue japo iliniuma coz ndio ilikua mara ya kwanza toka naitumia. Nikatengenisha kila kitu safisha, nikahot na Hot Gun. Nikafunga nikawqsga kitu bado kipo vilevile.
Nikaona niifungie ndani tu for 3days lakini bado iko vilevile.

So nimeona niifngue kisha nitoe HDD nihamishe Data zote zilizomo kwenye Computer nyingie kisha HDD hiyo niiwekee Window nyingine kwa kutumia Computer nyingine then nihamishe kwenye Computer yangu hii mbovu.

Je njia hii itafaa?? Nasubiri Go ahead yenu juu ya hili au kama kuna njia zingine nielekezeni nufanye.
Ahsanteni...[emoji120]
Wewe youtube huwaga unaitumia kuangalia nini?
 
Back
Top Bottom