Wataalam wa lugha naombeni mnisaidie kutafsiri maneno haya kwa lugha ya kiswahili

Wataalam wa lugha naombeni mnisaidie kutafsiri maneno haya kwa lugha ya kiswahili

Michael Amon

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2008
Posts
8,768
Reaction score
3,622
habari ya siku ya leo wapendwa wana JF, naombeni mnisaidie kutafsiri maneno yafuatayo kwa lugha ya kiswahili maana nimehangaika kutafuta tafsiri yake bila mafanikio yoyote.
  1. Recipes
  2. Cuisines
  3. Main Dish
  4. Side Dish
  5. Appetizers

Maneno hayo yanayo onekana hapo juu hutumika sana kwenye mambo ya vyakula sasa usije ukaona dish hapo juu ukaniambia ukatafsiri vingine.
 
habari ya siku ya leo wapendwa wana JF, naombeni mnisaidie kutafsiri maneno yafuatayo kwa lugha ya kiswahili maana nimehangaika kutafuta tafsiri yake bila mafanikio yoyote.
  1. Recipes
  2. Cuisines
  3. Main Dish
  4. Side Dish
  5. Appetizers

Maneno hayo yanayo onekana hapo juu hutumika sana kwenye mambo ya vyakula sasa usije ukaona dish hapo juu ukaniambia ukatafsiri vingine.
unataka kuamia kwenye fani ya upishi mdogo wangu?
 
Mie nagusia maeneo matatu; Ukitaka neno moja tu linaloshikilia maana ya maneno umetoa then kazi ipo! 🙂

Recipes ni simply viungo vinavyotumika kwenye mapishi, kama vile nazi, pili pili, binzari, n.k

Cuisines naweza sema kuwa ni "Pishi la kitamaduni" sababu ni aina ya vyakula kwa misingi ya tamaduni/eneo Fulani. Unaweza kuwa na cuisine ya Kihaya, Kichagga, Kinyakyusa or whatever tegemeana na taratibu la hilo kabila ama eneo.

Appetizers naweza sema kama “Vitia hamu” kama kuna mwingine ana neno zuri zaidi atujuze. Mara nyingi hutumika katika chakula kumfanya mtu kujisikia kula chakula kwa hamu zaidi.
 
Mie nagusia maeneo matatu; Ukitaka neno moja tu linaloshikilia maana ya maneno umetoa then kazi ipo! 🙂

Recipes ni simply viungo vinavyotumika kwenye mapishi, kama vile nazi, pili pili, binzari, n.k

Cuisines naweza sema kuwa ni "Pishi la kitamaduni" sababu ni aina ya vyakula kwa misingi ya tamaduni/eneo Fulani. Unaweza kuwa na cuisine ya Kihaya, Kichagga, Kinyakyusa or whatever tegemeana na taratibu la hilo kabila ama eneo.

Appetizers naweza sema kama "Vitia hamu" kama kuna mwingine ana neno zuri zaidi atujuze. Mara nyingi hutumika katika chakula kumfanya mtu kujisikia kula chakula kwa hamu zaidi.

Naam, umetafsiri vyema dada yangu AshaDii lakini mimi nilikuwa nahitaji kupata tafsiri ya hayo maneno kwa lugha ya kiswahili kwa neno moja tu. Mfano: Breakfast - Kifungua Kinywa.
 
Last edited by a moderator:
Recipe-viungo
cuisine- Kuremba tu, jibu ni msosi
Main dish- dishi kubwa eg Dstv
Side Dish-Dish la pembeni eg Star times
Appetizers-Hatuna hili neno kwa kiswahili maana tunazaliwa na "Appetite' kubwa sana kutoka kwa mtengenezaji
 
Recipe-viungo
cuisine- Kuremba tu, jibu ni msosi
Main dish- dishi kubwa eg Dstv
Side Dish-Dish la pembeni eg Star times
Appetizers-Hatuna hili neno kwa kiswahili maana tunazaliwa na "Appetite' kubwa sana kutoka kwa mtengenezaji

Duh!!! Asante sana mpendwa.
 
Naam, umetafsiri vyema dada yangu AshaDii lakini mimi nilikuwa nahitaji kupata tafsiri ya hayo maneno kwa lugha ya kiswahili kwa neno moja tu. Mfano: Breakfast - Kifungua Kinywa.

Ndiyo maana nilitanguliza kuwa kama unataka neno moja tu lazima italeta shida. Ukiyapata tafadhali nishtue... Na naomba nikukumbushe kuwa hata huo mfano hauna tofauti na tafsiri zangu. Kama vile Appetizer nilivyosema ni "Vitia hamu" ndivyo Breakfast ilivyo na "kifungua kinywa"

Umenote kuwa hakuna tofauti?

That is to say ukaamua kutumia neno moja la Chachandu (alilotuwasilishia CalvinPower ) kuwa ndiyo utumie kwa neno "Appetizer" inakuwa bado ina mapungufu sababu Chachandu ni Appetizer... Ila si Appetizer zote ni Chachandu.
 
Last edited by a moderator:
Cuisine-Mapishi
Recipe- Viungo
Main Dish-Mlo Halisi
Side Dish-Mlo Nyongeza
Appetizer-Kileta Hamu

Ku brainstorm raha

Kwenye recipe - viungo hapo ntapingana na wewe kwa sababu ndani ya recipe huwa kuna vitu vifuatavyo;
  • Appetizers
  • Beverages
  • Breakfasts
  • Desserts
  • Lunch
  • Main Dishes
  • Side Dishes

Sasa unataka kuniambia hivyo navyo ni viungo?
 
Ndiyo maana nilitanguliza kuwa kama unataka neno moja tu lazima italeta shida. Ukiyapata tafadhali nishtue... Na naomba nikukumbushe kuwa hata huo mfano hauna tofauti na tafsiri zangu. Kama vile Appetizer nilivyosema ni "Vitia hamu" ndivyo Breakfast ilivyo na "kifungua kinywa"

Umenote kuwa hakuna tofauti?

That is to say ukaamua kutumia neno moja la Chachandu (alilotuwasilishia CalvinPower ) kuwa ndiyo utumie kwa neno "Appetizer" inakuwa bado ina mapungufu sababu Chachandu ni Appetizer... Ila si Appetizer zote ni Chachandu.

Shukrani sana dada yangu kwa maelezo yako mazuri ila Kwenye upande wa recipe - viungo hapo ntapingana na wewe kwa sababu ndani ya recipe huwa kuna vitu vifuatavyo;

  • Appetizers
  • Beverages
  • Breakfasts
  • Desserts
  • Lunch
  • Main Dishes
  • Side Dishes
​

Sasa unataka kuniambia hivyo navyo ni viungo?
 
Basi ni mtindo wa vyakula

Ndo maana ankuambia tunachoka kweli kubrainstorm

Kwenye recipe - viungo hapo ntapingana na wewe kwa sababu ndani ya recipe huwa kuna vitu vifuatavyo;
  • Appetizers
  • Beverages
  • Breakfasts
  • Desserts
  • Lunch
  • Main Dishes
  • Side Dishes

Sasa unataka kuniambia hivyo navyo ni viungo?
 
Back
Top Bottom