Nitaleta mkuuusisahau kuleta mrejesho
Nitaleta mkuu
usisahau kuleta mrejesho
Haujasema uko wapi Mkuu. Wapi kwako ni karibu, kati ya Tanga Na Pemba?Wakuu nimerudishwa nyuma kimaendeleo, kuna mwivi kaingia shambani kwangu kapora mifug 10 wakubwa.
Nimefuata hatua za kipolisi na mtuhumiwa anashikiliwa kituoni. Sijaridhika nataka nitafute haki yangu kwa njia tajwa hapo juu, kama unamjua bingwa wa kutoa disiplini acha neno hapa au pm tafadhali. Wenye imani ya samehe saba mara sabini naomba msichangie. Karibuni.
Ndugu mpemba naomba nikufuate pmHaujasema uko wapi Mkuu. Wapi kwako ni karibu, kati ya Tanga Na Pemba?
Mkuu unyayo wake haukuonekana kbs, huyu atakuwa mwizi ngulichukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
ππ Halafu mtu kama huyu unakuja kumfundisha zile laws za physics ati Newton laws of motion!.. wakati tayari anaformula zake mahusisi..πchukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
Mkuu chongoe, kuna option gani ya ziada kama nyayo hazikuonekana? Karibuchukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
Tawile watu wa pwanichukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
Mkuu chongoe ungeeleza vizuri kifuu dume ni kipi?Make wengi wao humu si watu wa pwanichukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
Mzee wa Jahazi upo?chukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mrejesho, mtuhumiwa amekana shtaka mahakamani, kesi inaendelea leo hivyo bado natoa wito kwa wataalam wa mahakama za jadi.
Usicheke mkuu, hawa watu wamenirudisha nyuma sana. kupata mtaji tena ni mtihani.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]