Wataalam wa maswala ya 'ndumba' pitieni hapa

Wataalam wa maswala ya 'ndumba' pitieni hapa

Mniombee

Member
Joined
Dec 14, 2018
Posts
43
Reaction score
95
Wakuu nimerudishwa nyuma kimaendeleo, kuna mwivi kaingia shambani kwangu kapora mifug 10 wakubwa.
Nimefuata hatua za kipolisi na mtuhumiwa anashikiliwa kituoni. Sijaridhika nataka nitafute haki yangu kwa njia tajwa hapo juu, kama unamjua bingwa wa kutoa disiplini acha neno hapa au pm tafadhali. Wenye imani ya samehe saba mara sabini naomba msichangie. Karibuni.
 
Wala usiangaike,mcheki mshana Huduma Hiyo anatoa almost Bure, sharti,
1: kuku mweupe.( kwa ajili ya dawa)
2: uwe tiyari kutupikia wali kuku kwenye kampeni za mgombea wetu mpendwa, Hashim.

Achana na police watakuchelewesha.😁
 
Wakuu nimerudishwa nyuma kimaendeleo, kuna mwivi kaingia shambani kwangu kapora mifug 10 wakubwa.
Nimefuata hatua za kipolisi na mtuhumiwa anashikiliwa kituoni. Sijaridhika nataka nitafute haki yangu kwa njia tajwa hapo juu, kama unamjua bingwa wa kutoa disiplini acha neno hapa au pm tafadhali. Wenye imani ya samehe saba mara sabini naomba msichangie. Karibuni.
Haujasema uko wapi Mkuu. Wapi kwako ni karibu, kati ya Tanga Na Pemba?
 
chukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
 
chukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
Mkuu unyayo wake haukuonekana kbs, huyu atakuwa mwizi nguli
 
chukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
😂😂 Halafu mtu kama huyu unakuja kumfundisha zile laws za physics ati Newton laws of motion!.. wakati tayari anaformula zake mahusisi..😂
Nishaanza kujua kwanini waafrika shule haipandi kumbe tumesahau shule zetu..😅
 
Mrejesho, mtuhumiwa amekana shtaka mahakamani, kesi inaendelea leo hivyo bado natoa wito kwa wataalam wa mahakama za jadi.
 
chukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
Mkuu chongoe, kuna option gani ya ziada kama nyayo hazikuonekana? Karibu
 
chukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
Tawile watu wa pwani
 
chukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
Mkuu chongoe ungeeleza vizuri kifuu dume ni kipi?Make wengi wao humu si watu wa pwani
 
Huko pwani jamaa kaiba kiroba cha mahindi kikanata kichwani. Alizunguka na mzigo mpaka akajisalimisha polisi, sijui ilikuaje! Mtafute mwenye mzigo atakusaidia
 
chukua huo unyayo wake tia kwenye kifuu dume ukipata majina yake na la mama take itakuwa poa alafu kifuu na nya tia kwenye kitambaa cheusi ongea yako utakayo husisha weusi wa kitambaa unyayo na kifuu alafu tia chooni
Mzee wa Jahazi upo?
 
Back
Top Bottom