Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo nyoka anaitwa Sanzinia au Madagascar Tree Boa, ni nyoka adimu sana wanaopatikana kisiwa cha Madagasca, hawana sumu kabisa na waweza hata kumshika bila madhara, kwa kifupi umeua kiumbe adimu sana ambacho hakina madhara yoyote kwako!
Je maeneo unayoishi ni karibu na bahari?
View attachment 2448184
Okay.Hakuna bahari kabisa ni Dodoma
Puff Adder (kifutu)Huyu ni puff adder mkuu jamii ya viper ni nyoka mwenye spidi kali sana ya kung'ata Ana meno(fangs) marefu kuliko nyoka wengine meno ambayo yana vitundu vya kupump sumu anapong'ata
Weeeee..uyo momA..au puff adder..usimuingize chaka mwenzioHuyo nyoka anaitwa Sanzinia au Madagascar Tree Boa, ni nyoka adimu sana wanaopatikana kisiwa cha Madagasca, hawana sumu kabisa na waweza hata kumshika bila madhara...
Weweee
Weeeee..uyo momA..au puff adder..usimuingize chaka mwenzio
Puff adder you were so lucky angekumaliza huyoHabari za jioni
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu...
Dom, vifutu ni wengi, kule UDOM usiseme.Hakuna bahari kabisa ni Dodoma
Kifutu!! Mbona amekua mlefu?Anaitwa puff adder,ni jamii ya kifutu Iringa wanamwita moma ni kihehe nadhani.