SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Huyo ni puff adder mzee wala sio sanzinia.
Huyo nyoka ni very venomous.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni puff adder mzee wala sio sanzinia.
Anataka kumuunguza mwenzie. Huyo clearly ni puff adder. Ni moja ya nyoka ambao ni very venomous!Weweee
Weeeee..uyo momA..au puff adder..usimuingize chaka mwenzio
Puff addaHabari za jioni,
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu au hana.
And vipi tabia zake, anatembea mwenyewe au wawili wawili.
View attachment 2448174
Koboko hiloHabari za jioni,
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu au hana.
And vipi tabia zake, anatembea mwenyewe au wawili wawili.
View attachment 2448174
DuuuuhAkikuuma huyu hana dawa japo haui hapohapo dawa ya haraka ni kukata mguu. Yaan upo porini akikugonga mguu unaanza kuoza hapo hapo kadri sumu inapanda mguu unaoza kila inapopita mpaka unakufa
Ulitaka amuache aje kufa yeye?Kwa mini umekatisha maisha ya kiumbe hai?
Kifutu typicallyHabari za jioni,
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu au hana.
And vipi tabia zake, anatembea mwenyewe au wawili wawili.
View attachment 2448174
Itachukua miaka afutatu kuniaminisha kwamba nyoka Hana sumu🤣🤣Huyo nyoka anaitwa Sanzinia au Madagascar Tree Boa, ni nyoka adimu sana wanaopatikana kisiwa cha Madagasca, hawana sumu kabisa na waweza hata kumshika bila madhara, kwa kifupi umeua kiumbe adimu sana ambacho hakina madhara yoyote kwako!
Je maeneo unayoishi ni karibu na bahari?
View attachment 2448189
View attachment 2448184
Business partnership na wachina ilinishindaBujibuji Simba Nyamaume unatafutwa huku
Kifutu huyu, sumu yake Kali sana ila ni nyoka ambae hana speed kubwa na ni rahisi kumuuaHabari za jioni,
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu au hana.
And vipi tabia zake, anatembea mwenyewe au wawili wawili.
View attachment 2448174
Unachafukwa hadi siku unazionaHuyu mdudu kweli tuna uadui wa asili
Nikimuonaga tu najikuta nachafukwa
Watu wa Snekipaki kule Duka Mbovu kwa muzungu ya Angamia..View attachment 2448198
Mtofautishe na huyu.