Wataalam wa nyoka huyu ni nyoka gani?

Wataalam wa nyoka huyu ni nyoka gani?

Akikuuma huyu hana dawa japo haui hapohapo dawa ya haraka ni kukata mguu. Yaan upo porini akikugonga mguu unaanza kuoza hapo hapo kadri sumu inapanda mguu unaoza kila inapopita mpaka unakufa
Duuuuh
 
Huyo nyoka anaitwa Sanzinia au Madagascar Tree Boa, ni nyoka adimu sana wanaopatikana kisiwa cha Madagasca, hawana sumu kabisa na waweza hata kumshika bila madhara, kwa kifupi umeua kiumbe adimu sana ambacho hakina madhara yoyote kwako!

Je maeneo unayoishi ni karibu na bahari?

View attachment 2448189

View attachment 2448184
Itachukua miaka afutatu kuniaminisha kwamba nyoka Hana sumu🤣🤣
 
Back
Top Bottom