fortis fortuna adiuvat
Senior Member
- Jan 20, 2016
- 154
- 278
Ni rahisi kumuua sana huyo nyoka ni mvivu mno kukumbia kukung'ata mpka ajipindue q
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kifutu,akikugonga unaoza alipogongaHabari za jioni,
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu au hana.
And vipi tabia zake, anatembea mwenyewe au wawili wawili.
View attachment 2448174
Kweli,tabora kule swila/cobra wengi yaani Kama mijusi tu,aliuliwa pembezoni ya kiwanja Cha mpira,kwenye kucheza mmoja wetu akakanyaga mifupa,ile Imani kwamba unapata sumu tulikua nayo,lakini wapi,mwana alikua fresh tu,sumu zinakaa kwenye glands huku kichwani,nyoka mwenye sumu kichwani mataya yametanukaSumu ya nyoka haipo kwenye mifupa. Ipo kwenye tezi zilizoko kichwani huku. Hizo za mifupa kuwa na sumu ni habari za vijiweni.
Mshana Jr njoo huku unaitwa fasta.Huyo nyoka anaitwa Sanzinia au Madagascar Tree Boa, ni nyoka adimu sana wanaopatikana kisiwa cha Madagasca, hawana sumu kabisa na waweza hata kumshika bila madhara, kwa kifupi umeua kiumbe adimu sana ambacho hakina madhara yoyote kwako!
Je maeneo unayoishi ni karibu na bahari?
View attachment 2448189
View attachment 2448184
Kabisaaaa yaaan.Akikuuma huyu hana dawa japo haui hapohapo dawa ya haraka ni kukata mguu. Yaan upo porini akikugonga mguu unaanza kuoza hapo hapo kadri sumu inapanda mguu unaoza kila inapopita mpaka unakufa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mshana umeanza lini ukora?Koboko hilo
Ipi inaelekea kibra?Kitimoto na nyoka havifanani? Moja nyara ya serikali na huwezi peleka shingo kibra, wakati nyingine unadondosha shingo ikiwa imeelekea kibra
Kifutu au Puff AderHabari za jioni,
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu au hana.
And vipi tabia zake, anatembea mwenyewe au wawili wawili.
View attachment 2448174
Kifutu au Puff AderHabari za jioni,
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu au hana.
And vipi tabia zake, anatembea mwenyewe au wawili wawili.
View attachment 2448174
Kitimoto? Wanagonga kichwa aanguke ndio achinjwe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Ipi inaelekea kibra?
Nyoka mkubwa hivyo anapita tu mguuni umrtulia tu?Hawa nilikua nakutana nao sana dodoma kipondi hcho mvua ikinyesha kidogo tu usiku wanazagaa hila wenyeji walikua wanatuambia awaumi na wala awana sumu na kweli cjawai sikia kesi yao ya kuuma watu na wapo wengi sana aipiti wiki usikutane nao wanapita hadi miguuni awana shida
Puff Adder (Kifutu) sumu yake kali inaitwa cytotoxic.Habari za jioni,
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu au hana.
And vipi tabia zake, anatembea mwenyewe au wawili wawili.
View attachment 2448174
Ooooh.... Hapo sasa anaweza kuliwa vizuri tu?Kitimoto? Wanagonga kichwa aanguke ndio achinjwe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Na shingo inaelekezwa kule inakotakiwa
wazee ..Chakushangaza nikienda ugenini haipiti siku tatu sijaona nyoka, wakati mwingine nashtuka tuu nimemshika nikiwa na pilika zangu ila hanifanyi chochote. Sasa Kuna wakubwa kivipi
Huyo ni kifutu(moma) mzee, na huwa wanakuwa wawili wawili... Shambani kwangu tushaua kama wa5 hivi. Wengine walikuwa pair.
Pichani ni wawili, waliuwawa sehemu moja kwa tofauti ya nusu saa tu.View attachment 2448253View attachment 2448254
Madhara ya ku-google mwisho unaokota taarifa zisizo sahihi ambazo baadae zinakuletea madhara. Huyo ni kifutu usimuingize chaka mwenzio.Huyo nyoka anaitwa Sanzinia au Madagascar Tree Boa, ni nyoka adimu sana wanaopatikana kisiwa cha Madagasca, hawana sumu kabisa na waweza hata kumshika bila madhara, kwa kifupi umeua kiumbe adimu sana ambacho hakina madhara yoyote kwako!
Je maeneo unayoishi ni karibu na bahari?
View attachment 2448189
View attachment 2448184