Yellescabar
Senior Member
- Mar 19, 2017
- 115
- 253
Puff adder..tena dodoma wako wengi sana hasa maeneo ya Udom na kuelekea ng'ong'onha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuua nyoka fuga paka ondoa panya wataondoka wenyewe hilo shamba inaonekana hulihudumiiHuyo ni kifutu(moma) mzee, na huwa wanakuwa wawili wawili... Shambani kwangu tushaua kama wa5 hivi. Wengine walikuwa pair.
Pichani ni wawili, waliuwawa sehemu moja kwa tofauti ya nusu saa tu.View attachment 2448253View attachment 2448254
Hizi ni story unaleta nabii wa uongo.. Nyoka hana masikio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mshikaji wangu alikuwa ameketi mahala kajamaa kakawa keshaanza kunyanyuka ili kurusha sumu. We kama bahati nilitokea nyoka akanigeukia Mimi Cha kushangaza alilala mwenyewe kama dakika Tano hivi nikasema ondoka lol alisepa balaa. Sasa Cha kushangaza sio mara ya kwanza huwa nyoka wakiniona wanalegea na kusepa. Nitashukuru mkinisaidia kwa hili ni kwanini
Sio wewe tu, ni mammalia wote tuoo hivyo, ...ng'ombe mbwa, Nyani, Punda, Chui, Paka, Dubu wakimuona lazima washtuke.Huyu mdudu kweli tuna uadui wa asili
Nikimuonaga tu najikuta nachafukwa
Naongezea: Sumu yake hushambulia misuli(Myotoxin). Akikung'ata usipowahi matibabu misuli ya eneo alilong'ata itaanza kuoza taratibu na kadri sumu inavyoenea ndivyo na misuli huendelea kuathirika kwa kuoza. Ukizembea, kama ni mguu basi itabidi mguu ukatwe-hakuna dawa ya misuli iliyooza/kufa. Ila sio nyoka mkorofi na ukiwa mtulivu mnaweza kupishana tu hana shida na mtu ni mpaka aidha umkanyage au umkalie kwa bahati mbaya au awe amejeruhiwa kwa namna moja au nyingine. Harushi/hatemi mate. It is one of the timid (not active) snakes i.e. ni bozibozi, mzubaafu, duwanzi au amekaa kilegelege.Huyu ni puff adder mkuu jamii ya viper ni nyoka mwenye spidi kali sana ya kung'ata Ana meno(fangs) marefu kuliko nyoka wengine meno ambayo yana vitundu vya kupump sumu anapong'ata
Si ndo mnapendaga nyoka awe mkubwa mnasema mnaenjoy?Nyoka mkubwa hivyo anapita tu mguuni umrtulia tu?
Aisee kwa nini mnaua nyoka lakini?Huyo ni kifutu(moma) mzee, na huwa wanakuwa wawili wawili... Shambani kwangu tushaua kama wa5 hivi. Wengine walikuwa pair.
Pichani ni wawili, waliuwawa sehemu moja kwa tofauti ya nusu saa tu.View attachment 2448253View attachment 2448254
Naam umemena sahihi mkuu ila hapo kwenye nyama sina hakikaNaongezea: Sumu yake hushambulia misuli(Myotoxin). Akikung'ata usipowahi matibabu misuli ya eneo alilong'ata itaanza kuoza taratibu na kadri sumu inavyoenea ndivyo na misuli huendelea kuathirika kwa kuoza. Ukizembea, kama ni mguu basi itabidi mguu ukatwe-hakuna dawa ya misuli iliyooza/kufa. Ila sio nyoka mkorofi na ukiwa mtulivu mnaweza kupishana tu hana shida na mtu ni mpaka aidha umkanyage au umkalie kwa bahati mbaya au awe amejeruhiwa kwa namna moja au nyingine. Harushi/hatemi mate. It is one of the timid (not active) snakes i.e. ni bozibozi, mzubaafu, duwanzi au amekaa kilegelege.
Ni mtamu sana nyama yake kushinda samaki jodari.
Wewe kama amekung'ata cha kujitetea ni:Akikuuma huyu hana dawa japo haui hapohapo dawa ya haraka ni kukata mguu. Yaan upo porini akikugonga mguu unaanza kuoza hapo hapo kadri sumu inapanda mguu unaoza kila inapopita mpaka unakufa
Ni Ukatili, Ukatili mtupu. Kama hajakudhuru (hajaingia kwenye anga zako) yuko zake porini ww unamwuua wa nini?
Walinunuliwa na kupandwa maeneo hayo ili kupambana na panya waharibifu wa karanga enzi za "The great Kongwa groundnut Project"Puff adder..tena dodoma wako wengi sana hasa maeneo ya Udom na kuelekea ng'ong'onha
Toka nje ya box mkuu.Naam umemena sahihi mkuu ila hapo kwenye nyama sina hakika
Hahahaahaa. Eti wanaenjoy 😀 😀 💃Si ndo mnapendaga nyoka awe mkubwa mnasema mnaenjoy?
yani ni kiumbe tuna uadui wa asili kabisa .. nahisi ukizaliwa tu unajua mshenzi huyu hafaiSio wewe tu, ni mammalia wote tuoo hivyo, ...ng'ombe mbwa, Nyani, Punda, Chui, Paka, Dubu wakimuona lazima washtuke.
Utakua umechanjiwa dawa..uliza kwenu watakuambiaKuna mshikaji wangu alikuwa ameketi mahala kajamaa kakawa keshaanza kunyanyuka ili kurusha sumu. We kama bahati nilitokea nyoka akanigeukia Mimi Cha kushangaza alilala mwenyewe kama dakika Tano hivi nikasema ondoka lol alisepa balaa. Sasa Cha kushangaza sio mara ya kwanza huwa nyoka wakiniona wanalegea na kusepa. Nitashukuru mkinisaidia kwa hili ni kwanini
Yep, ipo kwenye DNA hyoyani ni kiumbe tuna uadui wa asili kabisa .. nahisi ukizaliwa tu unajua mshenzi huyu hafai
Haui kwa haraka kivile kwani sumu yake hushambulia misuli(myotoxin) kwa kuiharibu uasili wake au kuiyeyusha. Unaweza kugongwa leo lakini hadi kifo inaweza kuchukua hata siku tatu kutegemeana na eneo alilong'ata. Yani misuli(nyama) huoza kadri sumu inavyoenea.Puff adder ni nyoka mmoja hana makuu na binadamu mwendo wake ni wa pole pole sana lakini usiingie katika kumi na nane zake hasa ukimkanyaga sumu yake ni moja ya sumu hatari sana anaye ua kwa haraka .