Wataalam wa nyoka huyu ni nyoka gani?

Wataalam wa nyoka huyu ni nyoka gani?

Puff Adder (Kifutu) sumu yake kali inaitwa cytotoxic.
Ni myotoxic mkuu. Cytotoxic ni sumu kwa seli-hai (living cells=body cells) na sumu hii cytotoxic huingilia na kuharibu utaratibu au mfumo wa seli kugawanyika /ukuaji (ref.Cytology).
 
Hizi ni story unaleta nabii wa uongo.. Nyoka hana masikio
emoji23.png
[em

Hizi ni story unaleta nabii wa uongo.. Nyoka hana masikio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulizia SAUT main campus 2016 wanafunzi walikuwa wanapambana na nyoka ila aliponioba alilala nikaenda muua kwa kusigina kichwa na safari boot zangu. Nakumbuka ilikuwa njia ya kwenda malimbe. Wow nilijiona kidume kwelikwel
 
Ungekutana na huyu jamaa ungeelewa tofauti ya koboko (black mamba) na moma (kifutu).
FB_IMG_1671351550814.jpg
 
kuna sehemu inaitwa DAKAWA kule wakimbizi wa South Africa walikuwa wakifanya yao.

nimesoma kule, hao nyoka ni wengi kiasi kipindi cha mvua huwezi maliza kilometa 1 hujakutana nao chini ya 10 -20. sasa leo ndio naona hatari iliyokuwa mbele yangu kipindi hicho. sababu nyoka hawa nilikuwa nawakamata kwa mkono nikiamini hawana sumu. nilikuwa nawakamata nawatia kwenye mfuko mkubwa, ninamaanisha nilikuw nikiingia pembezoni na mifereji mikubwa kipindi cha mvua nawafuatilia kutokana wana uzito flani hivyo wakipita wanaacha trace, nilikuwa nakamata mmpaka moma 100 kwa siku mbili. kuna mzee, alikuwa anakula hawa na nilikuwa nikimuuzia moma mmoja Tsh 200, chatu 5000. nilijifunza kula nyoka kipindi hicho. sasa mmnaposema wana sumu basi nilikuwa ktk hatari kubwa na sikuwahi kuumwa na aina hiyo ya nyoka, lakini nishaumwa na nyoka wengine wengi tu si chini ya mara 7 katika harakati hizo. yaani naposema kama kuna nyoka nilikuwa siwaogopi ni hawa kumbe yana sumu?
 
Watamu WA wanyama WANASEMA nyoka WENYE sumu siku zote kichwa Chao ni triangle kama HUYO na walio na head ya KAWAIDA mostly HAWANA sumu
 
Watamu WA wanyama WANASEMA nyoka WENYE sumu siku zote kichwa Chao ni triangle kama HUYO na walio na head ya KAWAIDA mostly HAWANA sumu
 
A
kuna sehemu inaitwa DAKAWA kule wakimbizi wa South Africa walikuwa wakifanya yao.

nimesoma kule, hao nyoka ni wengi kiasi kipindi cha mvua huwezi maliza kilometa 1 hujakutana nao chini ya 10 -20. sasa leo ndio naona hatari iliyokuwa mbele yangu kipindi hicho. sababu nyoka hawa nilikuwa nawakamata kwa mkono nikiamini hawana sumu. nilikuwa nawakamata nawatia kwenye mfuko mkubwa, ninamaanisha nilikuw nikiingia pembezoni na mifereji mikubwa kipindi cha mvua nawafuatilia kutokana wana uzito flani hivyo wakipita wanaacha trace, nilikuwa nakamata mmpaka moma 100 kwa siku mbili. kuna mzee, alikuwa anakula hawa na nilikuwa nikimuuzia moma mmoja Tsh 200, chatu 5000. nilijifunza kula nyoka kipindi hicho. sasa mmnaposema wana sumu basi nilikuwa ktk hatari kubwa na sikuwahi kuumwa na aina hiyo ya nyoka, lakini nishaumwa na nyoka wengine wengi tu si chini ya mara 7 katika harakati hizo. yaani naposema kama kuna nyoka nilikuwa siwaogopi ni hawa kumbe yana sumu?
Aiseee
 
Naongezea: Sumu yake hushambulia misuli(Myotoxin). Akikung'ata usipowahi matibabu misuli ya eneo alilong'ata itaanza kuoza taratibu na kadri sumu inavyoenea ndivyo na misuli huendelea kuathirika kwa kuoza. Ukizembea, kama ni mguu basi itabidi mguu ukatwe-hakuna dawa ya misuli iliyooza/kufa. Ila sio nyoka mkorofi na ukiwa mtulivu mnaweza kupishana tu hana shida na mtu ni mpaka aidha umkanyage au umkalie kwa bahati mbaya au awe amejeruhiwa kwa namna moja au nyingine. Harushi/hatemi mate. It is one of the timid (not active) snakes i.e. ni bozibozi, mzubaafu, duwanzi au amekaa kilegelege.
Ni mtamu sana nyama yake kushinda samaki jodari.
Point of correction. Sumu yake ni cytotoxin. Inaua seli na kufanya sehemu ianze kuoza.
 
Back
Top Bottom