murrl
Member
- Jan 25, 2014
- 14
- 13
Naitwa Peter nipo Kigambon, Mimi ni fundi ujenzi ilikuwa majuzi nilikuwa site nikijenga chemba mara ghafla manispaa wakaingia (wazee wa kibali cha ujenzi) bahati nzuri bosi alikuwepo ko sikuwanza sana kuhusu hili, walijitambulisha vizuri hatamae wakauliza vipi hapa kibali cha ujenzi kipo? Bos akawajibu "nani kawaambia kuwa hapa kibali hakipo na nani kawatuma"?
Wakajibu hatujatumwa na mtu bali ni wajibu wetu kama idala husika. Bos akawajibu ngoja nije akaingia ndani, wakaambizana anatuletea jeuri, tunaondoka na huyu fundi, Basi tukaanza kuzinguana hapo nikijitetea nisiingizwe kwenye gani nikibisha kwanini mnichukuwe wakati bos yupo kiukweli tulizinguana hatimae wakanizidi nguvu kwa kuwa alikuwa watano, Wakatu nikiwa kwenye gari la manispaa Bos akanipigia na kuniuliza mmefika wapi nikamueleka sehemu tulipo akaja na kuwadai mshusheni huyo mnichukuwe mimi je huyu anahusika na kitu gani?
Mimi mwenye nyumba nipo muachieni huyu, wakakataa, nikahis mgambo wanaogopa kumkamata kwakuwa ni mwanajeshi. Basi kilichotokea Jamaa aligoma hata kuja kunitoa kule kwa kudai siji kwa sababu mwenye nyumba nilikuja na wakakukatalia pengine labda wanamasilahi na wewe, ikabidi mimi familia yangu ije kuniwekea mzamana ili nitoke selo. Je hii kitaalam imekaaje? wazee wa sheria Tafadhali.
Wakajibu hatujatumwa na mtu bali ni wajibu wetu kama idala husika. Bos akawajibu ngoja nije akaingia ndani, wakaambizana anatuletea jeuri, tunaondoka na huyu fundi, Basi tukaanza kuzinguana hapo nikijitetea nisiingizwe kwenye gani nikibisha kwanini mnichukuwe wakati bos yupo kiukweli tulizinguana hatimae wakanizidi nguvu kwa kuwa alikuwa watano, Wakatu nikiwa kwenye gari la manispaa Bos akanipigia na kuniuliza mmefika wapi nikamueleka sehemu tulipo akaja na kuwadai mshusheni huyo mnichukuwe mimi je huyu anahusika na kitu gani?
Mimi mwenye nyumba nipo muachieni huyu, wakakataa, nikahis mgambo wanaogopa kumkamata kwakuwa ni mwanajeshi. Basi kilichotokea Jamaa aligoma hata kuja kunitoa kule kwa kudai siji kwa sababu mwenye nyumba nilikuja na wakakukatalia pengine labda wanamasilahi na wewe, ikabidi mimi familia yangu ije kuniwekea mzamana ili nitoke selo. Je hii kitaalam imekaaje? wazee wa sheria Tafadhali.