kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Uto kwa kujifariji mko vizuri.
Off side. Hata VAR ingeonesha hivyo. Simba imebebwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Off side. Hata VAR ingeonesha hivyo. Simba imebebwa
Goli hakufunga Morrison bali kafunga Luis. Tuambie position aliyokwepo Luis wakati mpira unapigwa na kumkuta LuisBeki wawili wapo usawa wa Morison,uyu wa kushoto na yule wa kulia kwa mbaali akiangalia golini kwake.
BM kampa ubavu kipa,mpira umepigwa akiwa usawa wa mabeki.
Mpira umepigwa kutokea upande wa kulia ambapo BM anamuangalia mtoa atist.
Kumbukeni pia hali ya misimamo ya mabeki mshambiliaji pamoja na move ya mpira kwa pamoja vinatoa uhalisia wa off side.
Apo akuna off side.
Goli la Kisinda wadau wa mpira wamelizungumzia kwa nyakati/siku tukio ya hiyo mechi ilivyofanyika na kuonekana Kisinda alimsukuma mchezaji wa Coastal union. Leo tunazungumzia mechi ya hivi punde baina Simba na prisons hasa hasa goli la LuisUtopolo ni tatizo kubwa linalohitaji msaada wa wataalqmu wa magonjwa ya akili, mmeacha kujadili goli alilofunga kisinda dhidi ya coastal baada ya kumsukuma beki nq goli alilofunga utopolo dhidi ya pilisi ambalo mfungaji alikuwa offside mmeitana kujadili goli la simba dhidi ya prison.
Kwa staili hii mtakufa kabla ya wakati wenu
Zungumzia na goli la utopolo kwa polisi naona Kitenge kawaambukiza utopoloGoli la kisinda wadau wa mpira wamelizungumzia kwa nyakati/siku tukio ya hiyo mechi ilivyofanyika na kuonekana Kisinda alimsukuma mchezaji wa Coastal union. Leo tunazungumzia mechi ya hivi punde baina Simba na prisons hasa hasa goli la Luis
Hivi wadau wa Simba na Yanga ukweli kwenu mwiko. Likitokea upande Huu huyu anakwepa kwaniniZungumzia na goli la utopolo kwa polisi naona Kitenge kawaambukiza utopolo
Kwa hii video mfungaji alikuwa ameoteaKwa wale wanaohitaji video
Hata sisi hatujui ila yule line man ana majibu kutokana na sehemu aliyosimamaJe, Luis alikuwa katika offside position ama lah katika goli alilofunga leo dhidi ya Prisons?
View attachment 1722295
Je, Luis alikuwa katika offside position ama lah katika goli alilofunga leo dhidi ya Prisons?
View attachment 1722295
We ulichokifanya KINA tofauti na maelezo yako!?Utopolo ni tatizo kubwa linalohitaji msaada wa wataalqmu wa magonjwa ya akili, mmeacha kujadili goli alilofunga kisinda dhidi ya coastal baada ya kumsukuma beki nq goli alilofunga utopolo dhidi ya pilisi ambalo mfungaji alikuwa offside mmeitana kujadili goli la simba dhidi ya prison.
Kwa staili hii mtakufa kabla ya wakati wenu
Asante Mimi binafsi sikuangalia mpira Ila kwa clip hii ya video nasema hii mfungaji ambaye Ni Kondeboy alikuwa offside. Japo ndiyo hivyo siku hizi offside za Simba Ni za ki VIP ambazo Ni sawa na goli. Refer Simba Vs JKT Tz same same.Kwa wale wanaohitaji video
Tatzo lako wewe na mleta thread hampo fair kwenye uchambuzi kwa sababu tukio la kuongelea offside ilibidi pia uchambue na goli la Mugalu lililodaiwa ni offside. Mm huwa naamini makosa mengi ya washika vibendera ni kutokuwa makini tu wala sio kubeba timu fulaniOffside ya wazi kabisa simba wamebebewa mbeleko ya chuma hapo.
Nyinyinsi ndio var wa mechi za simba goli lenu na polisi hamkuona offside ila mmekalia kutumbulia macho mechi za simbaWe ulichokifanya KINA tofauti na maelezo yako!?
Kwani ukitemwa na kipa offside inakufa?