Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Nimekuwa nikiona hizi alama zikijitokeza mara kwa mara kwa mpishano kwenye simu yangu ila sijajua zina maana gani.
Na je zinavyobadilika haziathiri ubora wa huduma kwa thamani ya fedha niliyolipa?
Wajuzi tieni neno kidogo hapa.
Na je zinavyobadilika haziathiri ubora wa huduma kwa thamani ya fedha niliyolipa?
Wajuzi tieni neno kidogo hapa.