The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
40 zinatoshaAssume
1. kiwanja kipo
2. Bati migongo midogo za rangi.
3. Madirisha.matano ya wastani
4. Vyumba 3 vitatu vya kulala moja master dining na sebule.
View attachment 3133281karibu kwa ushauri
Da nasikia watu wa JF wengi wenu mnamiliki magorofaHako kapagale ndo unakaita mjengo?
Hakavuki laki 5 ukiwa mjanja
Mawe trip 12?1-Matofali 2,400Γ1,000=2,400,000
2-Cement 300Γ20,000=600,000
3-Nondo 12mm 32Γ26,000=832,000
4-Mchanga trip 18Γ70,000=1,260,000
5-Mawe trip 12Γ60,000=720,000
6-Kokoto trip 7Γ180,000=1,260,000
...... nitarudi kuendelea nimechoka
Jikite kwenye mada za kudanga, huku maji mengi unga hautatoshaHako kapagale ndo unakaita mjengo?
Hakavuki laki 5 ukiwa mjanja
Basi tri 3 mkuu, nilikua nimetulia hapa nakufanyia hesabu kumbe unajua...πMawe trip 12?
ππ MI nimeangalia mawe trip 12 nikawaza huyu jomba anataka Kujenga mnara au Nyumba ya mawe completely..Basi tri 3 mkuu, nilikua nimetulia hapa nakufanyia hesabu kumbe unajua...π
ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈ yesu!Hako kapagale ndo unakaita mjengo?
Hakavuki laki 5 ukiwa mjanja
Kwa hiyo picha na muonekano wa faundation, hapo inaonekana itakua walau 0.8-1mt from above the ground.ππ MI nimeangalia mawe trip 12 nikawaza huyu jomba anataka Kujenga mnara au Nyumba ya mawe completely..
Syo lazma hapo ataweka kwaru kwaru kama nch 3/2 alafu atakuja kumwaga zege nch 7 akishamaliza wata laza tofali lain kama 4 then atafunga mkanda wa nch 4 kfutacho nkupandsha ukutaKwa hiyo picha na muonekano wa faundation, hapo inaonekana itakua walau 0.8-1mt from above the ground.
Na kumbuka hapo tayari atakua ametengeneza shimo kubwa ndani nyumba nzima, then atalazimika kujaza moram na kuishindilia kisha ata tandanza mawe nyumba nzima kabla ya mwaga jamvi.
naunga mkono/nakubalina.40 zinatosha
40/50 bila KiwanjaAssume
1. kiwanja kipo
2. Bati migongo midogo za rangi.
3. Madirisha.matano ya wastani
4. Vyumba 3 vitatu vya kulala moja master dining na sebule.
Karibu kwa ushauri
View attachment 3133281
Nyumba ni nzuriAssume
1. kiwanja kipo
2. Bati migongo midogo za rangi.
3. Madirisha.matano ya wastani
4. Vyumba 3 vitatu vya kulala moja master dining na sebule.
Karibu kwa ushauri
View attachment 3133281