Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mara nyingi ujenzi unaanza na kidogo ulichonacho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli,japo kila mtu ana chaguo lake.Nyumba ni nzuri
dosari ni mbili tu
- huo muezeko umepitwa na wakati
- nyumba zinamilikiwa na vyama pacha vya siasa
Kwa kuwa umeahidi kurudi, ukirudi tu yaangalie mahesabu yako kama yako sawa.1-Matofali 2,400×1,000=2,400,000
2-Cement 300×20,000=600,000
3-Nondo 12mm 32×26,000=832,000
4-Mchanga trip 18×70,000=1,260,000
5-Mawe trip 12×60,000=720,000
6-Kokoto trip 7×180,000=1,260,000
...... nitarudi kuendelea nimechoka
Uliitwa maputo wengine vijijini wakaenda mbali zaidi wakasema unaitwa sefu kondena I guess walimaanisha self containerulivuma miaka ya nyuma,ukikuwa unaitwa msumbiji sijui mgongo wa tembo kitu kama hicho
Hayako sawa mkuu, ebu rekebisha tu...😊Kwa kuwa umeahidi kurudi, ukirudi tu yaangalie mahesabu yako kama yako sawa.
ni mtazamo wako tu huoNyumba ni nzuri
dosari ni mbili tu
- huo muezeko umepitwa na wakati
- nyumba zinamilikiwa na vyama pacha vya siasa
uhuni huo sasaBasi tri 3 mkuu, nilikua nimetulia hapa nakufanyia hesabu kumbe unajua...🙄
Kuna fundi wangu mamjua ukimpa elfu 50 sahvi kesha unahamia kabisaAssume
1. kiwanja kipo
2. Bati migongo midogo za rangi.
3. Madirisha.matano ya wastani
4. Vyumba 3 vitatu vya kulala moja master dining na sebule.
Karibu kwa ushauri
View attachment 3133281
JFKuna fundi wangu mamjua ukimpa elfu 50 sahvi kesha unahamia kabisa
Assume
1. kiwanja kipo
2. Bati migongo midogo za rangi.
3. Madirisha.matano ya wastani
4. Vyumba 3 vitatu vya kulala moja master dining na sebule.
Karibu kwa ushauri
View attachment 3133281
Hako kapagale ndo unakaita mjengo?
Hakavuki laki 5 ukiwa mjanja
Yaani we acha tu . Watu.tunapenda sifa sana. After all haya majumba makubwa ni.mapagre tu baada ya kufa. Yatauzwa watoto wanagawana chaoKila mtu ana:
- Ndoto zake
- Malengo
- Upeo
- Uwezo!
Hufaidiki chochote kumzarau
Nyumba zinapitwa na wakati kwa kutofanyiwa update, ila ukiijali nyumba Kila baada ya miaka 5 unaweka mazingira vizuri uwezi kusema lugha ya imepitwa na wakatiNyumba ni nzuri
dosari ni mbili tu
- huo muezeko umepitwa na wakati
- nyumba zinamilikiwa na vyama pacha vya siasa
Mawazo ya kimasikini hayaYaani we acha tu . Watu.tunapenda sifa sana. After all haya majumba makubwa ni.mapagre tu baada ya kufa. Yatauzwa watoto wanagawana chao
Sawa tajiri na hekalu.lako. jumba kubwa ndo uhamba uliopilitiza Kama hujuiMawazo ya kimasikini haya
Hii nilitamani nimchambulie one time, lakini shida vijana wajuaji alafu tunamsaidia maswali aliyo uliza then anakubishia tena....Milioni 35
Vijana ujuaji umewajaa hadi wanaharibuHii nilitamani nimchambulie one time, lakini shida vijana wajuaji alafu tunamsaidia maswali aliyo uliza then anakubishia tena....
Skuihiyo nilikua na moyo mzuri, ningemchambulia hadi rangi, wayaring, wota lains, grills, aluminiums, switchers, chembers, water valves, sink, tiles and finishing