NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Sana mkuu!!mkuu hii dawa ina msaada wowote kwenye suala la nguvu za kiume?
Utapiga show Hadi akimbie mamaaaa!!
Jaribu mkuu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana mkuu!!mkuu hii dawa ina msaada wowote kwenye suala la nguvu za kiume?
Hakuna msaada wa uzinifu nabuasherati, vitabu vyote vya d8ni vishakwambia ni uchafu huo.Kaja kuomba msaada siyo kujisifu.
Kaeleza yote huenda ingesaidia kwa diagnosis ya ugonjwa wake.
Acha uongo wewe bibi.Wewe kwisha kazi yako. Kwanza hapo ushapoteza kizazi, kuanzia sasa ukiambiwa mtoto ni wako ujuwe umebambikiwa.
Huo ugonjwa ni sugu na hauponi, subiri umauti tu.
Fanya toba zako kwa namna ujuavyo, hakuna dakrari wa kukusaidia kaswende sugu hilo, limechanganyika na ukimwi.
Ukimwi ukipimwa hapo hauonekani, bakteria wanakula virusi lakini unavyo, bakteria waki[unguwa ndiyo ukimwi utaonekana, bado una incubate.
Rudi kwa muumba wako ufanye toba, kwisha kazi yako ya uasherati na uzinzi.
G I o bdiyo ukweli wa uzinzi na uasherati, kama na wewe yapo kuanzia kwenu nikuulize, unamjuwa baba'ko?Acha uongo wewe bibi.
Sayansi haiko hivyo, unaweza kuwa sio malaya ila ukitembea na malaya unabeba maradhi yote ya umalaya wake. Kwa hiyo na wewe unakuwa sawa na huyo malaya kwenye afyaThanks for your time, Kwa kweli limekua ni Jambo kubwa Ila Kwa msaada kama wenu nimepima Mpaka HIV Mpaka SASA najua nipambnae Tu nipone tuendelee na harakat za Maisha,.... Na hata kama nakufa basi Uzi huu uje uwe fundisho Kwa kwetu sote, sababu mim sio Malaya na demu alienipa ndio nilimwamini mno
😳😳 kwa unayopitia ukipona utakuwa na uwezo wa kuprescribe dawa za magonjwa hayo!Habari za Harakat za Maisha Wana forum.
Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.
3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....
Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....
Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...
Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...
Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...
Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....
Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..
Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.
Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus
Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)
Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.
2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
Kumbe waliwa tiGo hawa aminiki?Huyu mwanamke ninamuamini sana……… unamuaminije mtu ambaye wewe mwenyewe unafanya nae kinyume na maumbile?
I mean ni jambo la kawaida hadi mmefikia kusema mnaaminiana.?
Pole, Madaktari wakusaidie upone na ujifunze.
Duh sitaki tena demuWewe kwisha kazi yako. Kwanza hapo ushapoteza kizazi, kuanzia sasa ukiambiwa mtoto ni wako ujuwe umebambikiwa.
Huo ugonjwa ni sugu na hauponi, subiri umauti tu.
Fanya toba zako kwa namna ujuavyo, hakuna dakrari wa kukusaidia kaswende sugu hilo, limechanganyika na ukimwi.
Ukimwi ukipimwa hapo hauonekani, bakteria wanakula virusi lakini unavyo, bakteria waki[unguwa ndiyo ukimwi utaonekana, bado una incubate.
Rudi kwa muumba wako ufanye toba, kwisha kazi yako ya uasherati na uzinzi.
Daaahh sio uungwana kabisa ulichoandika hapa mama angu,,,,yani no wonder haukuwa daktari. Mana ungekua unaua wagonjwa kwa maneno yake..Wewe kwisha kazi yako. Kwanza hapo ushapoteza kizazi, kuanzia sasa ukiambiwa mtoto ni wako ujuwe umebambikiwa.
Huo ugonjwa ni sugu na hauponi, subiri umauti tu.
Fanya toba zako kwa namna ujuavyo, hakuna dakrari wa kukusaidia kaswende sugu hilo, limechanganyika na ukimwi.
Ukimwi ukipimwa hapo hauonekani, bakteria wanakula virusi lakini unavyo, bakteria waki[unguwa ndiyo ukimwi utaonekana, bado una incubate.
Rudi kwa muumba wako ufanye toba, kwisha kazi yako ya uasherati na uzinzi.
[emoji28][emoji28][emoji28]Chululuu haina kazi tena man
Katumie antibiotics za mifugo zina nguvu ya hatariHabari za Harakat za Maisha Wana forum.
Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.
3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....
Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....
Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...
Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...
Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...
Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....
Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..
Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.
Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus
Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)
Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.
2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
Kumbe mnaaminiana kabisa na mnafanya kitu sicho? Au ni ndicho mi mshamba? 🤷🏻♀️Kumbe waliwa tiGo hawa aminiki?
Simjui ila mama yangu ni wewe..sasa sijajua kama wewe ni muasherati au lah.G I o bdiyo ukweli wa uzinzi na uasherati, kama na wewe yapo kuanzia kwenu nikuulize, unamjuwa baba'ko?