Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Acha uongo wewe bibi.
 
Sayansi haiko hivyo, unaweza kuwa sio malaya ila ukitembea na malaya unabeba maradhi yote ya umalaya wake. Kwa hiyo na wewe unakuwa sawa na huyo malaya kwenye afya

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
😳😳 kwa unayopitia ukipona utakuwa na uwezo wa kuprescribe dawa za magonjwa hayo!
 
Duh sitaki tena demu
 
Daaahh sio uungwana kabisa ulichoandika hapa mama angu,,,,yani no wonder haukuwa daktari. Mana ungekua unaua wagonjwa kwa maneno yake..

Kaswende yake inatibika 98%.
Tatizo hajapata tu matibabu sahihi.
Pia yoyote kwa yote kila kesho ya mja ipo mikononi kwa Allah. Usifanye tena kuandika vitu vya namna hii
 
Katumie antibiotics za mifugo zina nguvu ya hatari
 
Ukisoma huu uzi, utagudua medical profession lacks objectivity. Everyone recommending differently from another.
The result being patients developing clonic/severe complications because of this try and error
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…