Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Msaada wangu kwako ni kwamba nenda kaonane na Mganga muhusika
 
Ndiyo kwaheri hiyo, kwanza uzazi sahau.

Mkiambiwa zinaa na uasherati ni uchafu msiukaribie mnajifanya hamuelewi, mnaongeza na kufirana juu yake.

Shenzi taipu.
Mbona ulitumia maneno makali sana Faiza? Was it necessary?
 
Na ukiendelea itabidi upewe na dozi za
Cumiflopaixon
Zabtroxinosozisis
Matroluvtrozenovin
Nixopaqruvunin
Mpakatrocuminmisis
Ukometrobululelencence
Acha kutuzingua, hivi umetuonaje kwanza, ila nimecheka. eti Ukometrobululelencencence, fala kweli!
 
Gharama ipoje mkuu
 
ACHA UJINGA ILA UKIFIKA KULE PASADA NDIO UNAJUA DAH NAKUKUMBUKA NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE
 
Mkuu umeshapona 100%? Ulitumia dawa gani unielekeze pia? Au hivyo vipimo hugharimu kiasi gani? Nijibu tafadhali
 
Mkuu umeshapona 100%? Ulitumia dawa gani unielekeze pia? Au hivyo vipimo hugharimu kiasi gani? Nijibu tafadhali
Kwa asilimia kubwa nimepona, Ila kuna maumivu Fulani ivi yanakuepo tofauti na mara ya Kwanza, ni kama unakidnda afu unakitonesha kind of maumivu,
Pia hii chronic prostatitis huathir phycology so sometimes unakuta unajihis huko Sawa Iakin ukipima unakuta hamna kitu.
But kila muda unavoenda Nazid kuwa poa.
 
Dawa zipi zilifanya kazi after several attempts mkuu?
 
Dawa zipi zilifanya kazi after several attempts mkuu?
First line Fluoroquinolones
Second line Tetracyclines
Third line Macrolides
Mim nimetumia 1st na 2nd line Hali iko poa, kama Hali ikiwa mbaya utapewa 3rd line
Ila dawa izo Fluoroquinolones zinazngua Sana after 3 months dosage.
 
Chakula hamli kizuri, ngono zembe mnazipenda, madawa mnakunywa kunywa tu hovyo utadhani kuku wa kisasa halafu mnategemea kuwa na afya imara.
 

Sorry chief ñatatizo ķama ilo naomba Namba yako unipe ushauri
 
Unakuja hapa kutamba ati ulipitia mlango wa nyuma? We kufa tu broo[emoji706][emoji706]
Kwa maisha ukikutana na mfcz kama hawa wako so filled with anger issues hata Kwa watu wasiowajua... It's very funny... Nimepona now, it's six months now baada ya matibabu kuisha nimepona.. keep spreading your negative attitudes to others yo pu55y ni55er
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…