Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Kwa wale wnye kukaa mtandaon kubishana, kutukana na kueneza hate...
SIUZI DAWA, WALA SI RECOMMEND HOSPITAL YEYOTE, na usije inbox kama unaulizia dawa.
Kama ni issues zaid ya hapo I don't give a damn.
Kwa wale walionitabiria kifo miez sita iliopita, ...wakachnje mbuzi au ng'ombe kabisa waenjoy now am dead.
 
😁🀣🀣🀣🀣
 
Wew jamaa hii story yako ni chai πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ulichofany hapo ni kutuambia kuhus dawa za gono na elimu yako ya udaktar wa vichocho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…