Wataalam, nisaidieni hapa namna ya kuset premium message,, maana naona nakosaga hivi vihela vya vocha.. Hizi message zinaingiaga kwenye Simu yangu mara kwa mara
Hao matapeli, kila mtu wampatie 300Tsh kisa anajibu swali?
Ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndiye fursa
Jibu kwenda hiyo namba halafu ukiwa unakatwa 50 au 100 kwenye kila vocha utakayokua unaingiza uje kufungua thread ulalamike..!
Hao matapeli, kila mtu wampatie 300Tsh kisa anajibu swali?
Ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndiye fursa
Jibu kwenda hiyo namba halafu ukiwa unakatwa 50 au 100 kwenye kila vocha utakayokua unaingiza uje kufungua thread ulalamike..!
Wataalam, nisaidieni hapa namna ya kuset premium message,, maana naona nakosaga hivi vihela vya vocha.. Hizi message zinaingiaga kwenye Simu yangu mara kwa mara