Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nchi yetu ni ngumu sana wananchi kuelewa kwanini J.K alimleta haraka kutokana na umuhimu wa skills zake.Prof muongo hana mpinzani katika kada take
Yaani ukimsikiliza anazidiwa kwa mbali sana na Kibajaji.Kimei ambaye hana Uwezo mzuri wa kuongea?
Ndiye Rais muovu, muuaji na muongo niliyewahi mshuhudia mimi mwenyewe na siyo kuambiwaSAWA KABISA.
KAMA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI.
Huyo ndio mtaalamu pekee niliyemshuhudia katika hii nchi toka kuumbwa kwa ulimwengu.
Ukiwa muuaji wa wananchi wako basi hufai na unatakiwa na wewe ufe, ndiyo maana na yeye Mungu akamuua kwani lilikuwa janga kwa taifaAngalau aliweza kuthubutu na kuisimamiq hii nchi bila kulalamika,alikua anatoa mamuzi na anayasimamia
Mapungufu mengine ya kibinadamu katika utekelezaji wa mamuzi huo ni ubinadamu tu. Lakini alijitahidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tofauti kati ya Kuongea {Maneno,maongezi}, vitendo,baadhi ya watu wana kipawa cha Elimu ya juu+kuongea,na kuna watu wana kipawa cha Elimu ya kawaida+vitendo,hao ulio waona wanaongea hujakuta wakitenda hivyo vitendo,pia sidhani kama umeweza kuwasikiliza watu wote wenye huo ujuzi.Uchumi: Marehemu Dr Mgimwa huyu ndio mchumi pekee ambae alikuwa very analytical kwa mazingira yetu on how to apply theories to fit our environment and propel growth. Bahati mbaya hiyo speech yake iliyonigusa siioni tena YouTube.
Banking: Dr Kimei amebobea kwenye finance (you do know banks sell financial products) without going into details huyu mtu ana uelewa how financial economy works.
Dorothy Gwajima management ya afya kwa Tanzania hana mpinzani.
Yupo lecture mmoja wa UDSM mbobezi wa maswala ya elimu nilimsikia enzi zile Star TV wapo live in 2010 (this guy was special katika watu wote Tanzania niliowahi kuwasikiliza kama wataalamu huyu alikuwa level nyingine; natamani ningelikumbuka jina lake).
Wakurugenzi kadhaa wa wizara ukiwasikiliza hawa watu ni very technical kushinda makatibu wakuu tells you kuna shida kwenye teuzi; hawa wengi ndio qualified kuwa makatibu wakuu wa wizara.
Waliobaki halafu wanajisifu viwango vya ujinga kwa vitu wanavyoongea is beyond me.
Haya, ngoja tuone huko mbele.Ukiwa muuaji wa wananchi wako basi hufai na unatakiwa na wewe ufe, ndiyo maana na yeye Mungu akamuua kwani lilikuwa janga kwa taifa
Hivi ndio elimu inavyopimwa huko juu.Kuna tofauti kati ya Kuongea {Maneno,maongezi}, vitendo,baadhi ya watu wana kipawa cha Elimu ya juu+kuongea,na kuna watu wana kipawa cha Elimu ya kawaida+vitendo,hao ulio waona wanaongea hujakuta wakitenda hivyo vitendo,pia sidhani kama umeweza kuwasikiliza watu wote wenye huo ujuzi.
Hayo ni maoni yako hayanihusu.Ndiye Rais muovu, muuaji na muongo niliyewahi mshuhudia mimi mwenyewe na siyo kuambiwa
Alizuia MACHANJO YA CORONA.Hata yeye hakutumia hiyo taaluma ukemia kwa kufanya lolote. Akajiingiza kwenye siasa ambako nako hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kujimwambafai.
Utaalaam wake aliousomea ni upi, umeisaidia vipi Tanzania au dunia na kwa lipi?
Siyo maoni, ni ukweli sema haukuhusu. Sukuma gang wengi hawapendi kuambiwa ukweliHayo ni maoni yako hayanihusu.
Cha ajabu Corona ikapita naye, alikuwa anaamini ushirikina kuliko scienceAlizuia MACHANJO YA CORONA.
Umetisha sana umeongea next level kabisa 🙏🙏🙏💯Uchumi: Marehemu Dr Mgimwa huyu ndio mchumi pekee ambae alikuwa very analytical kwa mazingira yetu on how to apply theories to fit our environment and propel growth. Bahati mbaya hiyo speech yake iliyonigusa siioni tena YouTube.
Banking: Dr Kimei amebobea kwenye finance (you do know banks sell financial products) without going into details huyu mtu ana uelewa how financial economy works.
Dorothy Gwajima management ya afya kwa Tanzania hana mpinzani.
Yupo lecture mmoja wa UDSM mbobezi wa maswala ya elimu nilimsikia enzi zile Star TV wapo live in 2010 (this guy was special katika watu wote Tanzania niliowahi kuwasikiliza kama wataalamu huyu alikuwa level nyingine; natamani ningelikumbuka jina lake).
Wakurugenzi kadhaa wa wizara ukiwasikiliza hawa watu ni very technical kushinda makatibu wakuu tells you kuna shida kwenye teuzi; hawa wengi ndio qualified kuwa makatibu wakuu wa wizara.
Waliobaki halafu wanajisifu viwango vya ujinga kwa vitu wanavyoongea is beyond me.