Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda setting kweny default app kwa massage chagua iyo google massage...acahana na iyo hutaki kuitumia ni samsung massage...hapo utaitumia iyo inayotakaHabari wadau.
Kuna hii simu yangu Aina ya Samsung, nahitaji msaada namna ninaweza kuondoa hii option ya message nibakiwe na moja. Ninayohitaji kuondoa ni hiyo niliyoweka alama ya XView attachment 3157596
Asante
Sawa mkuu. Lengo langu nilitaka nibakiwe na Google messaging app pekee yake kwenye homepage . Najaribu ku disable Samsung messaging naona inazinguanenda setting kweny default app kwa massage chagua iyo google massage...acahana na iyo hutaki kuitumia ni samsung massage...hapo utaitumia iyo inayotaka
Naona option ya disable imefifia sijui shida nini mkuuGoogle messages umeiona nzur kuliko Samsung messages? Disable tu mkuu.
Huwezi ukaidisable, fanya hivi unistall hiyo app ambayo huitaki kwa kutumia ADB, sijui exact procedures kwa Samsung, ila search YouTube kitu kama hiki How to uninstall Samsung Bloatware using ADB, sharti uwe na PC lakini.Naona option ya disable imefifia sijui shida nini mkuuView attachment 3157776
Changamoto ni kwamba nikifuta message hazifutiki, Baada ya muda zinarejea tenaHiyo ambayo huitaki ndio nzuri mkuu
Duh kazi kumbeHuwezi ukaidisable, fanya hivi unistall hiyo app ambayo huitaki kwa kutumia ADB, sijui exact procedures kwa Samsung, ila search YouTube kitu kama hiki How to uninstall Samsung Bloatware using ADB, sharti uwe na PC lakini.
Njia rahisi set default messaging app, hiyo nyingine ondoa kwenye hime screen.Duh kazi kumbe
Naiondoa vipo kwenye home screen mkuu. Najaribu ku hold na ku remove haitokiNjia rahisi set default messaging app, hiyo nyingine ondoa kwenye hime screen.
huwez disable app iliyokuja na siku mkuu,, kumbuka iyo ni samsung masage,ni app ya samsung na simu ni ya samsung, apo ni kudefault tu iyo google massage basi,, labda kama ungekua na simu aina za google pixel automatic google sms inakuja tayar iko simu.Sawa mkuu. Lengo langu nilitaka nibakiwe na Google messaging app pekee yake kwenye homepage . Najaribu ku disable Samsung messaging naona inazingua
kama ni hivo nenda hapo kwenye sms kuna vidoti/vimstari vitatu ingia setting then angalia text message zinaseviwa wapi kuna sim card na phone hiyo yako utakuwa text message saved to phone ndomana ukifuta kule kwenye sms bila kuja kufuta na huku zinarudi.. sasa ww weka text message saved to sim card hapo hata ukifuta hazirudi na itasolve tatizo lakoChangamoto ni kwamba nikifuta message hazifutiki, Baada ya muda zinarejea tena