mr man city
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 467
- 319
IST inatumia mafuta kiasi gani kwa safari ya kutoka Arusha Mpaka Marangu? Kwa google map ni takribani km 119. Kwahiyo kwenda na kurudi ni km 238+. Je hapo zinahitajika lita ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IST inatumia mafuta kiasi gani kwa safari ya kutoka Arusha Mpaka Marangu? Kwa google map ni takribani km 119. Kwahiyo kwenda na kurudi ni km 238+. Je hapo zinahitajika lita ngapi?
Lita ngapi mkuu?andaa budget ya full tank
Haha...nipo na watu siwezi wapandisha basi mkuu.Panda tu basi mkuu kama huna ulazima wa kuja na gari, au ni kwa wakwe unakuja kujitambulisha?
As long upo sawa piga wese la kutosha, ukifika Marangu usiache kupita kwa Clara upate nyama choma safi na 🍻Haha...nipo na watu siwezi wapandisha basi mkuu.
Km 18/litreKwny safari ndefu IST inatembea km16 kwa lita hvyo 238 gawa kwa16 unapata lita14 hvyo itapendeza ukiweka lita20 ambayo sawa na kama efu 65-70k ila gar iwe nzma sio mbovu
Hana gari huyu hivi Una gari unauliza full tank tsh ngapi?!IST nayo ya kuulizia mafuta kiasi gani..😂😂😂
Yaani IST unaipigia gharama za mafuta!IST inatumia mafuta kiasi gani kwa safari ya kutoka Arusha Mpaka Marangu? Kwa google map ni takribani km 119. Kwahiyo kwenda na kurudi ni km 238+. Je hapo zinahitajika lita ngapi?