BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Mzazi wangu kalima matikiti hekari 5. Ni kilimo cha umwagiliaji. Hakushirikisha mtu yoyote. Kulima, kununua mbegu, gharama za mafuta kuvutia maji katumia zaidi ya 20,000,000. Na ni Mara ya kwanza kulima matikiti.
Anasema anategemea kupata faida. Sisi wanae hatujaridhika na uamuzi huo maana kilimo na kamari. Kwa sasa haelewi mtu. Hivi mnaolima mnatupa fedha zote hizo ardhini?
Anasema anategemea kupata faida. Sisi wanae hatujaridhika na uamuzi huo maana kilimo na kamari. Kwa sasa haelewi mtu. Hivi mnaolima mnatupa fedha zote hizo ardhini?