Wataalamu wa kuelewa vibonzo, hiki kibonzo kina ujumbe gani?

Kule mbele ni kama bahari, sijui wanajua kuogelea?
 
kiongoz wetu wa nyumba kumi hapa kijijini nimegundua yeye ni msimamiz tu kumbe kiongoz ni mwingine na hajulikan. ndo maana na onaga li V9 kubwa lina mavioo meusi na plate number sio ya inchi yii!!kumbe ndo kiongoz ebooo!! masikin asie hata pesa kidogo ya kodi mmoja akasema
kumbe haina haja ya kupiga kuraa

Kuangalia pemben beberu mmoja akatikisa kichwa akasema lait wangejua na huku nasi twafanana kwa rangi tu bali si tabia ingewasaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…