Wataalamu wa madini, naweza kununua haya mawe kwa shilingi ngapi na kupata faida?

Wataalamu wa madini, naweza kununua haya mawe kwa shilingi ngapi na kupata faida?

Ukitataka tukupe bei unaweka picha kama hiyo unaweka na grams , yote kwa ubobezi wangu nakisia gram 130 hayo ni low quality usitoe zaidi ya laki 7
 
Back
Top Bottom